Lazima kitakuja kuwa hvyoLakini kwa badae wakishapat wataalamu wao na wakiwasomesha ata huko nje ya nchi kwa utaalamu wa ngozi na technology za kuunda simu tujitegemee huwa sipendi vyuo vya Mwanza viwe chini ya chuo fulani.
Operations za Nyamhongolo za boost mapato, ila wangekamilisha na stand kubwa ya Daladala hapo Nyamhongolo wangekusanya zaidi. Kwa mpango uliopo naimani watalikamilisha sababu wanahitaji mapato.Mwaka huu ilemela wanaenda kuweka record ya mapato . mkurugenzi wao Yuko makini sana ..robo hii wamekusanya bilion 5 badala ya bilion 3 waliyokuwa wamepanga wakusanye ...tusishangae mwaka huu wakazidiwa kidogo tu nyamagana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema Mara alizipatia Kenya! Ila kikubwa ni mtoto wa kanda ya ziwa!Huyo ngosha fighter sijui pesa alizitolea wapi huyo dadeki.
Nyie subirini tu Ilemela iwanyee kwenye mapato ndio mtakapojua, jiji la Mwanza litakuja kukaa tu kwa ilemela.Operations za Nyamhongolo za boost mapato, ila wangekamilisha na stand kubwa ya Daladala hapo Nyamhongolo wangekusanya zaidi. Kwa mpango uliopo naimani watalikamilisha sababu wanahitaji mapato.
Kuna watu wanasema atakuwa chawa mwenye mafanikio kuwa kuna wachina wanamtumia kuwekeza hapa Mwanza kupitia yeye, yote kwa yote jamaa ameshawin life na kazi iendelee.Wanasema Mara alizipatia Kenya! Ila kikubwa ni mtoto wa kanda ya ziwa!
Wenzao MCC nyegezi terminal tayali palishajaa wapangaji.. unadhani mapato wanazidiwa linNyie subirini tu Ilemela iwanyee kwenye mapato ndio mtakapojua, jiji la Mwanza litakuja kukaa tu kwa ilemela.
Subiri soko kuu la kirumba😂😂😂Wenzao MCC nyegezi terminal tayali palishajaa wapangaji.. unadhani mapato wanazidiwa lin
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri soko kuu la kirumba😂😂😂
Na wao wana soko kuu pale kati,Subiri soko kuu la kirumba😂😂😂
Nyamagana shida upigaj huwa mwng sanaNa wao wana soko kuu pale kati,
Hata kwa operation stand ya Nyegezi itakuwa bize kuliko Nyamhongolo hata soko ni hivyohivyo.
Niliwaza ivo moyoni lakini sasa nawaza kwa sautiHizi ziara za madiwani ni njia ya kula posho tu hamna Cha maana ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nalo neno.Nyamagana shida upigaj huwa mwng sana
Niliiona hiyo kwenye website yaoPia hapo buswelu kuna ujenzi mkubwa unaendelea sasa wapo floor ya tatu ya ofisi za attorney general.
Na wewe mtu wa Yanga unatumia neno utopolo😂😂
Huu mradi wa kingo za mto utabadilisha mandhari ya mji kama ukisimamiwa ipasavyo.Tunasubiri miradi ya tactic haza ile ya kuweka kingo kwenye mto mirongo inafanya jiji kuwa bora kama miji ya wenzetu huko ulaya, hii kitu itaongeza mwonekano mzuri wa jiji ata master plan ya mwanza city ilitaja hii kitu.
Nalikumbuka Hilo jengo. Kifupi watu wanakiwasha huko Nyasaka, ni noma na sana. Ni eneo litakalokuwa tamu sana baadaye. Kwanza projects za maghorofa marefu zipo nyingi.Niliona ile, nahisi itapanda juu sana. Nimeona chamber mpaka ya lift
Ila huyu kitana huyu mkurya ni mtu na nusu japo magufuri alitaka kumfirisi lakini ili jamaa lina pesa kama lilizaliwa nazo.
Mbona umekuja na maneno tupu kaka.Ila nilipita pale sabasaba kwenye ujenzi wa chuo cha DIT kama mlivyonambia, hakika nilifika adi kwenye michoro asee michoro inavutia sana na magorofa yatakuwa ni mengi kama sita hivi, eneo l ujenzi pia sio haba pia majengo mengi ni floor nne adi sita🙏🙏🙏
View attachment 2415860
View attachment 2415861
Huko Nyuma alitaka kujenga hilo jengo mjini kati, pamba road lilikuwa liitwe kitana complex sijui aliishia wapi, ila wanaodesign majengo yake wanamfelisha