Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,608
Kukipigwa lami kule ni hatariNalikumbuka Hilo jengo. Kifupi watu wanakiwasha huko Nyasaka, ni noma na sana. Ni eneo litakalokuwa tamu sana baadaye. Kwanza projects za maghorofa marefu zipo nyingi.