Utakuwa hujafika Mwanza muda mrefu, pembeni ya hilo soko jipya linalojengwa upande wa kulia wamejenga wamejenga nyumba yenye frame za biashara, kushoto market road wamejenga nyumba ya frame za kibiashara na zimekamilika mwaka huu.Masterplan tuliyonayo Inasoma 2015 - 2035, sasa nhc wamejenga nini labda uniambie wewe
Ni bora ata huyo kuliko watu wanaojenga vibanda katikati ya mji.Jengo kubwa kama hilo huwezi sema mipango miji walilala, kiufupi tunasema alihonga.
Hakuna aliye bora wote hovyoNi bora ata huyo kuliko watu wanaojenga vinanda katikati ya mji.
Hyo Tampere ni lini itaanza kujengwa. Maana kla sku storiView attachment 2432947
Kuna watu wanafikiri tampere atajenga huo ufukwe wote, oneni tampere park ilivyo ndogo
Ipo kwenye mgogoro....Hivi project ya ujenzi wa Mega mall complex pale Nyakato ipo active au ilishajifiaa kitambo wenye kujua atujuzee
Niliwauliza kupitia email walijibu wamemaliza kulipa fidia, mwezi huu December wataanza kubomoa nyumba na ujenzi utaanza ubomoaji ukiishaHivi project ya ujenzi wa Mega mall complex pale Nyakato ipo active au ilishajifiaa kitambo wenye kujua atujuzee
Sawa ngoja tusubireeNiliwauliza kupitia email walijibu wamemaliza kulipa fidia, mwezi huu December wataanza kubomoa nyumba na ujenzi utaanza ubomoaji ukiisha
Ndiyo broRufiji hii???
Naona leo umeamua boss! Lete vitu yetu macho! Hongera sana!
Daraja la kigongo busisi lipo asilimia 61 lilitarajiwa kuisha February 2024 badala yake wameongeza miez 8 mpk November 2024
Wew ushaondoka mwanza ... barabara washaweka zege ..Mlioko mwanza vp kuhusu barabara za kuingia na kutoka stand ya nyegezi zimeishaisha?