Nilikuwa nakazia hoja yangu ...[emoji16]Au tumfundishe[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwananchi kwa juu imevamiwa na wakulungwa nakufanya kuharibu mandhari kwa ujenzi wa nyumba za kawaida za wakina fundi john.Mwananchi ikipigwa lami ikawekwa na Street lights itatokelezea sana.
Kweli kabisa .. maeneo mengine yanabebwa na lami .....mwananchi haionekani Kwa sababu ya barabaraMwananchi ikipigwa lami ikawekwa na Street lights itatokelezea sana.
Mbona hata bwiru,na isamilo na kwenyewe Kuna wakulungwa wa kutosha .kule juuMwananchi kwa juu imevamiwa na wakulungwa nakufanya kuharibu mandhari kwa ujenzi wa nyumba za kawaida za wakina fundi john.
Hujui nyamhongolo kijana, mimi naongelea nyamhongolo ya madon inayopakana na kanyerere kwenda hadi nyamadoke wewe unanileta nyamhongolo gani hio [emoji1]Au nikusaidie [emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji116]..View attachment 2453982
Ndo utuletee picha tuamini maneno yako ..mkono mtupu haulambwi[emoji16]Hujui nyamhongolo kijana, mimi naongelea nyamhongolo ya madon inayopakana na kanyerere kwenda hadi nyamadoke wewe unanileta nyamhongolo gani hio [emoji1]
Hio nyamhongolo jirani na stand watu wamehold maeneo ili waje wauze pesa ndefu mataita hapo huwapati tena ukisikia mtu anaizungumzia nyamhongolo kwenye akili yako toa hio picha
Umemsahau IntelligentWelcome big boss...kama hujawahi fika mwanza...wacheki Hawa Kitombile Cha asubuhi matour guide watakusaidia kulifahamu jiji
Intelligent.hayupo mjini Kwa sasa ...labda wilsonwizzo3 Vege ... intelligent akirudi mjini ,yeye ndo anajua Hadi chobsi tusizozifahamu za nyakagwe huko .na shortcut za kutoka mkolani kwenda daraja la kigongo [emoji16]Umemsahau Intelligent
Wameshavamia na huko, duh hawa watu wa Musoma wanapenda milima sanaMwananchi kwa juu imevamiwa na wakulungwa nakufanya kuharibu mandhari kwa ujenzi wa nyumba za kawaida za wakina fundi john.
Leo ulimkata stim mr intellent 😂😂😂😂Umemsahau Intelligent
Mr intelligenta anakutajia maeneo ya Mwanza ambayo hujawahi kuyasikia toka uzaliwe yule ni resident.Intelligent.hayupo mjini Kwa sasa ...labda wilsonwizzo3 Vege ... intelligent akirudi mjini ,yeye ndo anajua Hadi chobsi tusizozifahamu za nyakagwe huko .na shortcut za kutoka mkolani kwenda daraja la kigongo [emoji16]
Kweli, mfano Isamilo ni kuzuri ila barabara za lami zimeipendezesha zaidiKweli kabisa .. maeneo mengine yanabebwa na lami .....mwananchi haionekani Kwa sababu ya barabara
Lakini mlima wa bwiru hauna makazi ya watu ni kama ule wa kwa mkuu wa mkoa kuna mandhari safi sana kule bwiru, ni sauti za ndege na mawimbi ya ziwa huku ukitalii kwenye mapalace na mansion ya kutisha.Mbona hata bwiru,na isamilo na kwenyewe Kuna wakulungwa wa kutosha .kule juu
[emoji16][emoji16]..sasa kama viwanja kule bei ndogo Kwanni wasinunue ...inabidi matycoon waanze kununua hyo milima ,,wafanye kama ilivyo Kampala . milimani ndo Kuna mataita ..Wameshavamia na huko, duh hawa watu wa Musoma wanapenda milima sana
Usinigombanishe, nilisema anapenda Taarifa za mitaani, huwa naburudika nazo sana🤣🤣Leo ulimkata stim mr intellent 😂😂😂😂
Nikipata mda nitaendaNdo utuletee picha tuamini maneno yako ..mkono mtupu haulambwi[emoji16]
Anajua maeneo ya nje ya mji balaa, anakosa picha tu.Mr intelligenta anakutajia maeneo ya Mwanza ambayo hujawahi kuyasikia toka uzaliwe yule ni resident.
Naona umeanza kuja na style ya intelligent man ..more description more story[emoji16]....Kwa Nyasaka ninachojua inaongoza kwa kua na nyumba nyingi chenye fensi[emoji1] tena kama mtaa nyamuge,kanisani,mtaa wa hbaba[emoji1],sokoni hadi upendo aiseee ni[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] kwa mwanza hii sizani kama kuna sehemu yenye nyumba nyingi zenye fensi kama Nyasaka