Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Wakazi wengi wa milimani kuanzia igogo, mabatini, bugarika na isamilo milimani ni wakurya, wajaluo na waha 90%Wameshavamia na huko, duh hawa watu wa Musoma wanapenda milima sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakazi wengi wa milimani kuanzia igogo, mabatini, bugarika na isamilo milimani ni wakurya, wajaluo na waha 90%Wameshavamia na huko, duh hawa watu wa Musoma wanapenda milima sana
Nikijaa February,,nitapita Tena bwiru,,,,nijiaminishe ..maana siku Ile nilipita mipango pale kuelekea breweries.sikuenjoyLakini mlima wa bwiru hauna makazi ya watu ni kama ule wa kwa mkuu wa mkoa kuna mandhari safi sana kule bwiru, ni sauti za ndege na mawimbi ya ziwa huku ukitalii kwenye mapalace na mansion ya kutisha.
Hii sio nyamhongolo bali ni eneo la stendi ya nyamhongolo ambako kuna maeneo bado yameshikwa kwaajili ya kuuzwa na pia halmashauri imehold baadhi ya maeneo kwa uwekezaji, tunaongelea nyamhongolo residential area ipo ndani huko kwenye barabara inayoenda nyamadoke huko kuna kufuru sio za nchi hii lakini kwa picha hii kwa kweli inakudanganya.Au nikusaidie [emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji116]..View attachment 2453982
Ninapicha baadhi zinakujaNaona umeanza kuja na style ya intelligent man ..more description more story[emoji16]....
Ni mwanza na Rio de Janeiro ndo maskini wanajenga milimani,[emoji16][emoji16]..sasa kama viwanja kule bei ndogo Kwanni wasinunue ...inabidi matycoon waanze kununua hyo milima ,,wafanye kama ilivyo Kampala . milimani ndo Kuna mataita ..
Angelina au hyu stanslaus?Ni mwanza na Rio de Janeiro ndo maskini wanajenga milimani,
Leo nimemwandikia Mabula kwenye instagram, kwamba wailinde milima, mfano Igogo ina View nzuri ya ziwa, ila tajiri yupi atajenga nyumba pale huku kazungukwa na slums, ndio maana tunatafuta mwekezaji wa jumla ambapo ni ngumu kumpata, njia rahisi ni kuondoa hao watu then unauza hilo eneo kwa matajiri
Mkuu pita njia kama unaenda kanisa la bwiru ambapo wanajenga kanisa kubwa sana maeneo la ghorofa tatu, pia tafuta barabara ya kuingia lami ya breweries.Nikijaa February,,nitapita Tena bwiru,,,,nijiaminishe ..maana siku Ile nilipita mipango pale kuelekea breweries.sikuenjoy
Nyasaka panajitahidi...achana na nyasaka mi nakuomba ukipata muda ..nenda nyamhongolo utuletee tuoshe machoNinapicha baadhi zinakuja
Atakuwa stanslaus mabula coz Ilemela haina maslum kama ya igogo na mabatini.Angelina au hyu stanslaus?
Nitafanya hivyo Boss....naamini Toka 2019 nilivyopita Leo kutakuwa na mabadiliko..Mkuu pita njia kama unaenda kanisa la bwiru ambapo wanajenga kanisa kubwa sana maeneo la ghorofa tatu, pia tafuta barabara ya kuingia lami ya breweries.
Nikijaa February,,nitapita Tena bwiru,,,,nijiaminishe ..maana siku Ile nilipita mipango pale kuelekea breweries.sikuenjoy
StanslausAngelina au hyu stanslaus?
Pro ilemela,,hamwishiwi maelezo...hyo mada tushaifunga muda tu .. ukisema hvyo ,, nyamagana mbona poshy neighborhood nyingi na hairingi ..refer toAtakuwa stanslaus mabula coz Ilemela haina maslum kama ya igogo na mabatini.
Aisee...nitajitahidi nifike Tena hapaView attachment 2454005
Mlima wa bwiru ni huu kwa mbali kule
Umefanya jambo jema ,,na kama unaweza kuandika project,,,unaweza andaa proposal na ukaiwasilisha Kwa mayor sima ...namna Gani tutaweza kuboresha mandhari na miundombinu ya makazi milimaniStanslaus
Kule bwiru mwenyekiti wao na diwani wao na serikali ya bwiru ilishazuia ujenzi wa nyumba za kawaida huko lazim ujenge ghorofa, sio porojo na huu ndio ukweli kamanda wala sio blah blah.Nitafanya hivyo Boss....naamini Toka 2019 nilivyopita Leo kutakuwa na mabadiliko..
Mabula na Sima si marafiki.Umefanya jambo jema ,,na kama unaweza kuandika project,,,unaweza andaa proposal na ukaiwasilisha Kwa mayor sima ...namna Gani tutaweza kuboresha mandhari na miundombinu ya makazi milimani
Kwani bwiru ni kata ya wapi . kitangiri au pasiansi?Kule bwiru mwenyekiti wao na diwani wao na serikali ya bwiru ilishazuia ujenzi wa nyumba za kawaida huko lazim ujenge ghorofa, sio porojo na huu ndio ukweli kamanda wala sio blah blah.
Hii ya kupanda miti .sijui iliishia wapi ,, mkuu wa wilaya nilisikia anagawa miti 6000 Kila mtaa ..Mabula na Sima si marafiki.
Ila nimetoa wazo, kwa sasa kabla solution haijapatikana, itungwe sheria hao watu wa milimani wapande miti at least 5 kila familia, pia paa za nyumba zipakwe rangi, jiji wanaweza paka rangi kwa kuwachaji pesa kidogo
Kwa nini madiwani na wenye viti wasisimamie na hili la milimani?Kule bwiru mwenyekiti wao na diwani wao na serikali ya bwiru ilishazuia ujenzi wa nyumba za kawaida huko lazim ujenge ghorofa, sio porojo na huu ndio ukweli kamanda wala sio blah blah.