Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hapa nera karibia da kwa kina doi kichwa,kushoto kuna kina bi mkubwa walikuwa wanapika vitumbua hatari sana,kwenye kona ya kuingia nera toka makongoro kulikuwa na hospital ya dr chogo....wahenga wa mwanza tu ndio wanajua hii,si walioenda mwanza chuo!View attachment 538171
Nera street
Asante sana kwa ufahamu wako. Igogo na maeneo mengi jiji ni Dar yakiwemo Pasiansi, Nyamanoro na Mabatini na Kitangiri ni kama Miata ya Kilimanjaro ya Jiji la Rio de Janeiro BraziHivyo vibanda bado kupakwa rangi tu vifanane na vya kule brazil! [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Haujitambui wewe. Usidhani watu wanaopost humu uzuri wa Mwanza hawajatembea ama wote wanaishi Mwanza. Wanapenda kwao na ndio furaha yao, we kama na inferiority complex sijui alishafika Dar so what? Ama unadhani Dar ni kila kitu? Mtu wa Dar akijisifia uzuri wa Dar kuna mburura mwingine atakubali hapa kudai ulishajiuliza Johannesburg? Wa Jo'burg naye ataulizwa ulishafika Dubai, Ndo unavyotaka?
Kisesa hapa sio buswelu mkuu
sure ni kisesa. project ya watumishi housing.Kisesa hapa sio buswelu mkuu