ni sehemu tu ya maeneo ya password. the area is hot and construction is booming ni hatari.
View attachment 554265 hii round about ya Nyerere kwa sasa imechakaa mbaya na imetelekezwa na jiji pamoja na Tilapia hotel waliokua wanaihudumia
Nyegezi mkuu baada ya stand ya mabasi ukiwa unaelekea mkolanipassword ndio sehemu gani Mwanza?