Inawekwa wapi hii Mkuu?
Mkuu unatulisha matango pori sasa, hii ni Germany nafikiriπ
Mkuu inamaana Nawewe huamini hiyo ni New BOT building pale clinic!!! Sema kaipiga kwa Nyuma na sijawahi iona kwa Huo upande!!Mkuu unatulisha matango pori sasa, hii ni Germany nafikiri[emoji23]
Hili jengo ni laBOT lipo pale clinic na ujenzi nafikiri imeshaisha sema angle aliyopigia hii Picha hata Mimi limenifanya nitumie muda kidogo kung'amua hapo n wapiInawekwa wapi hii Mkuu?
Sio BOT na wala hapo sio Mwanza najua hata picha hii alikoitoaMkuu inamaana Nawewe huamini hiyo ni New BOT building pale clinic!!! Sema kaipiga kwa Nyuma na sijawahi iona kwa Huo upande!!
Typed Using KIDOLE
Mkuu umetuuza
Huyu Mwamba muhuni Sana mkuuSio BOT na wala hapo sio Mwanza najua hata picha hii alikoitoa
Nilishawahi kukutana nayo hiyo picha, sawa milima ipo lakini haiwezi yote kosa nyumba huko juu ndio nilistuka hapoSio BOT na wala hapo sio Mwanza najua hata picha hii alikoitoa
HahahahMkuu unatulisha matango pori sasa, hii ni Germany nafikiriπ
Hapa sio Wuhan Institute of Virology?
kabisaaaaaa ππππππππππππππππππππππππππππππππππJiji zuri hili