sunny safaris 12flHebu yaorodheshe hayo majengo 20 ya 10+ floors.
Esami 14fl
Arusha trade center 11
Nssf florida 12
Nssf kanisa 12
Naura springs 11
Migration 10
Palace hotel 12
Ngorongoro plaza 15
Parrot hotel 15
Ms & dash sakina13
Watumishi housing chagga st 10
Aura mall 10
Salim plaza opp aura mall 11
Qwik plaza opp majis 11
market house (nmb market)10
Natron cbd10
Kibo palace appartments cbd11
Ppf nyerere road10
Ceg plaza opp sheikh abeid st 11
Bro hizi ni ambazo najua zinaitwaje tu kuna ambazo sijui zinaitwaje bado kuna ambazo ziko under construction eg papu 17 fl
Nenda google andika tallest buildings in tanzania kwenye list matatu tu yako nje ya dar na yapo arusha
Nia ya hii post si kuleta ushindan ila that is the reality mwanza mmeishinda arusha kwenye public facilities kama stendi za daladala na madaraja ya waenda kwa miguu ila kwenye suala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi
Nb: watu wa mwanza msiwe offended na ukweli huu nchi ni yetu sote hata sisi tunaweza kuja kwenu na nyie mkaja kwetu msilete ligi za kenya na tz wakati sisi wote ni ndugu na nchi yote ni ya kwetu ajabu ni mtu anabisha wakati hayo majengo ya arusha yanaweza yakamilikiwa na mtu wa mwanza and vice versa
LET LOVE LEAD