Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hebu yaorodheshe hayo majengo 20 ya 10+ floors.
sunny safaris 12fl
Esami 14fl
Arusha trade center 11
Nssf florida 12
Nssf kanisa 12
Naura springs 11
Migration 10
Palace hotel 12
Ngorongoro plaza 15
Parrot hotel 15
Ms & dash sakina13
Watumishi housing chagga st 10
Aura mall 10
Salim plaza opp aura mall 11
Qwik plaza opp majis 11
market house (nmb market)10
Natron cbd10
Kibo palace appartments cbd11
Ppf nyerere road10
Ceg plaza opp sheikh abeid st 11
Bro hizi ni ambazo najua zinaitwaje tu kuna ambazo sijui zinaitwaje bado kuna ambazo ziko under construction eg papu 17 fl
Nenda google andika tallest buildings in tanzania kwenye list matatu tu yako nje ya dar na yapo arusha
Nia ya hii post si kuleta ushindan ila that is the reality mwanza mmeishinda arusha kwenye public facilities kama stendi za daladala na madaraja ya waenda kwa miguu ila kwenye suala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi
Nb: watu wa mwanza msiwe offended na ukweli huu nchi ni yetu sote hata sisi tunaweza kuja kwenu na nyie mkaja kwetu msilete ligi za kenya na tz wakati sisi wote ni ndugu na nchi yote ni ya kwetu ajabu ni mtu anabisha wakati hayo majengo ya arusha yanaweza yakamilikiwa na mtu wa mwanza and vice versa
LET LOVE LEAD
 
Kwa hio pale EAC HQ zile ni ghorofa 10+ sio?
Hii post hujaisoma EAC HQ Ni jengo la kawaida majengo ya makao makuu ya sehemu bunge au ikulu sio marefu kwenda juu ile

sunny safaris 12fl
Esami 14fl
Arusha trade center 11
Nssf florida 12
Nssf kanisa 12
Naura springs 11
Migration 10
Palace hotel 12
Ngorongoro plaza 15
Parrot hotel 15
Ms & dash sakina13
Watumishi housing chagga st 10
Aura mall 10
Salim plaza opp aura mall 11
Qwik plaza opp majis 11
market house (nmb market)10
Natron cbd10
Kibo palace appartments cbd11
Ppf nyerere road10
Ceg plaza opp sheikh abeid st 11
Bro hizi ni ambazo najua zinaitwaje tu kuna ambazo sijui zinaitwaje bado kuna ambazo ziko under construction eg papu 17 fl
Nenda google andika tallest buildings in tanzania kwenye top 20 matatu tu yako nje ya dar na yapo arusha
Nia ya hii post si kuleta ushindan ila that is the reality mwanza mmeishinda arusha kwenye public facilities kama stendi za daladala na madaraja ya waenda kwa miguu ila kwenye suala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi
Nb: watu wa mwanza msiwe offended na ukweli huu nchi ni yetu sote hata sisi tunaweza kuja kwenu na nyie mkaja kwetu msilete ligi za kenya na tz wakati sisi wote ni ndugu na nchi yote ni ya kwetu ajabu ni mtu anabisha wakati hayo majengo ya arusha yanaweza yakamilikiwa na mtu wa mwanza and vice versa
LET LOVE LEAD
 
sunny safaris 12fl
Esami 14fl
Arusha trade center 11
Nssf florida 12
Nssf kanisa 12
Naura springs 11
Migration 10
Palace hotel 12
Ngorongoro plaza 15
Parrot hotel 15
Ms & dash sakina13
Watumishi housing chagga st 10
Aura mall 10
Salim plaza opp aura mall 11
Qwik plaza opp majis 11
market house (nmb market)10
Natron cbd10
Kibo palace appartments cbd11
Ppf nyerere road10
Ceg plaza opp sheikh abeid st 11
Bro hizi ni ambazo najua zinaitwaje tu kuna ambazo sijui zinaitwaje bado kuna ambazo ziko under construction eg papu 17 fl
Nenda google andika tallest buildings in tanzania kwenye list matatu tu yako nje ya dar na yapo arusha
Nia ya hii post si kuleta ushindan ila that is the reality mwanza mmeishinda arusha kwenye public facilities kama stendi za daladala na madaraja ya waenda kwa miguu ila kwenye suala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi
Nb: watu wa mwanza msiwe offended na ukweli huu nchi ni yetu sote hata sisi tunaweza kuja kwenu na nyie mkaja kwetu msilete ligi za kenya na tz wakati sisi wote ni ndugu na nchi yote ni ya kwetu ajabu ni mtu anabisha wakati hayo majengo ya arusha yanaweza yakamilikiwa na mtu wa mwanza and vice versa
LET LOVE LEAD
Utoto uliouweka humu ndani hakuna haja ya kuendelea kubishana na wewe
 
Watu wa mwanza bhana
Nikwamba huamini eti
Na si 20+ buildings tu zenye 10 plus buildings kuna ofis za kimataifa zaidi ya 10
Kumbuka mahakama ya afrika iko arusha
Eac hq ziko arusha
Tanapa hq zko arusha
Just to mention a few
Inshort usilinganishe mji wa wavuvi na arusha
Acha kupoteza muda wako.
Huwezi linganisha jiji la mwanza na huo utopolo
 
sitaki kuamini watu wa mwanza ndio mawazo yenu yameishia hapo
Naamini wewe unatatizo lako binafsi unahitaji counselling
Nipo Arusha Njiro ya Lemara, Usilinganishe Mwanza na Arusha. Inajulikana gizani na nuruni Jiji la pili kwa Ukubwa ni Mwanza kuanzia kwenye Makusanyo ya mapato mpaka idadi ya watu
 
Nipo Arusha Njiro ya Lemara, Usilinganishe Mwanza na Arusha. Inajulikana gizani na nuruni Jiji la pili kwa Ukubwa ni Mwanza kuanzia kwenye Makusanyo ya mapato mpaka idadi ya watu
Nipo Arusha Njiro ya Lemara, Usilinganishe Mwanza na Arusha. Inajulikana gizani na nuruni Jiji la pili kwa Ukubwa ni Mwanza kuanzia kwenye Makusanyo ya mapato mpaka idadi ya watu
Njiro ya lemara ndio nini mkuu
Njiro ni kata na lemara ni kata
Yani unaongelea magomeni ya ubungo hahah
Unavosema gizani nakubali sio nuruni
Arusha ni capital ya eac
Arusha ni nyumbani kwa mahakama ya africa
Arusha ni diplomatic hub
Arusha ni tourist capital
Sasa hivi tanzanite haiuziwi nje Arusha ni tanzanite hub dunia nzima
Sasa mwanza inakuaje maarufu zaidi ya arusha
Niliuliza tu kama mwanza majengo ya ghorofa 10+ kama yanafika hata 10 sijapata jibu hadi sasa hivi wakati arusha ni zaidi ya 20 na yanaendelea kujengwa
Mwanza tangu miaka ya 70 ni mji wa pili arusha ilikua mji wa 9 na hii ni kutokana na serikali ya awamu ya kwanza haikuweka mkazo kwenye utalii
Vituo vya kimataifa vimeboost sana ukuaji wa kasi wa arusha
Mwaka 2012 arusha ilikua ya tatu kwa wingi wa watu ikiwa na eneo la km za mraba 93 pekee kumbuka maeneo kama sakina, mianzini,sanawari na kwa mromboo havikuhesabiwa mwanza ilikua na 422kmsq
Arusha eneo la mraba limeongezwa kuwa km za mraba 608 mwanza zimebaki zile zile 422kmsq subiri sensa ya 2022 Utaniambia mji gani utakua na idadi kubwa ya watu

Ila kidogo wewe unafact kaka tunaweza tukajenga hoja na kukosoana kwa akili
Ila kwa makusanyo unatumia data za wapi ase nenda kagoogle tra quarter ya mwanzo wa 2020 alafu utakuja unipe jibu au nipe source ya hayo makusanyo yako
 
Njiro ya lemara ndio nini mkuu
Njiro ni kata na lemara ni kata
Yani unaongelea magomeni ya ubungo hahah
Unavosema gizani nakubali sio nuruni
Arusha ni capital ya eac
Arusha ni nyumbani kwa mahakama ya africa
Arusha ni diplomatic hub
Arusha ni tourist capital
Sasa hivi tanzanite haiuziwi nje Arusha ni tanzanite hub dunia nzima
Sasa mwanza inakuaje maarufu zaidi ya arusha
Niliuliza tu kama mwanza majengo ya ghorofa 10+ kama yanafika hata 10 sijapata jibu hadi sasa hivi wakati arusha ni zaidi ya 20 na yanaendelea kujengwa
Mwanza tangu miaka ya 70 ni mji wa pili arusha ilikua mji wa 9 na hii ni kutokana na serikali ya awamu ya kwanza haikuweka mkazo kwenye utalii
Vituo vya kimataifa vimeboost sana ukuaji wa kasi wa arusha
Mwaka 2012 arusha ilikua ya tatu kwa wingi wa watu ikiwa na eneo la km za mraba 93 pekee kumbuka maeneo kama sakina, mianzini,sanawari na kwa mromboo havikuhesabiwa mwanza ilikua na 422kmsq
Arusha eneo la mraba limeongezwa kuwa km za mraba 608 mwanza zimebaki zile zile 422kmsq subiri sensa ya 2022 Utaniambia mji gani utakua na idadi kubwa ya watu

Ila kidogo wewe unafact kaka tunaweza tukajenga hoja na kukosoana kwa akili
Ila kwa makusanyo unatumia data za wapi ase nenda kagoogle tra quarter ya mwanzo wa 2020 alafu utakuja unipe jibu au nipe source ya hayo makusanyo yako
Unajua Kwa Mimi watu wanakuignore? Unaongea pumba Sana.

Na wala hujawahi fika mwanza. Una ule uchugastani[emoji23] na zile bangi zenu.




Eti Arusha ishaizidi mwanza Kwa eneo ! Eti hicho kijiji chenye manispaa moja?

Mwanza Una manispaa mbili na zote zimejaa mfano ilemela imejaa mpaka watu wameingia magu
Nyamagana imejaa mpaka watu wanaingia misungwi.
Hebu tazama Idadi ya abiria wa ndege wa mwanza na linganisha na kiarusha chako.

Pia angalia GDP ya mwanza linganisha na kiarusha chako.



Idadi ya watu.
Dar 6million
Mwanza 3.7 million
Kagera 3.1 million.

Population density
Dar 3140 per km
Mwanza 340 per km
Kagera 119 per km
Kilimanjaro 109 per km
NBS.
Huo utopolo wa Arusha utoe hapaView attachment 1599418
Screenshot_20201014-071253.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Unajua Kwa Mimi watu wanakuignore? Unaongea pumba Sana.

Na wala hujawahi fika mwanza. Una ule uchugastani[emoji23] na zile bangi zenu.




Eti Arusha ishaizidi mwanza Kwa eneo ! Eti hicho kijiji chenye manispaa moja?

Mwanza Una manispaa mbili na zote zimejaa mfano ilemela imejaa mpaka watu wameingia magu
Nyamagana imejaa mpaka watu wanaingia misungwi.
Hebu tazama Idadi ya abiria wa ndege wa mwanza na linganisha na kiarusha chako.

Pia angalia GDP ya mwanza linganisha na kiarusha chako.



Idadi ya watu.
Dar 6million
Mwanza 3.7 million
Kagera 3.1 million.

Population density
Dar 3140 per km
Mwanza 340 per km
Kagera 119 per km
Kilimanjaro 109 per km
NBS.
Huo utopolo wa Arusha utoe hapaView attachment 1599418View attachment 1599419

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hachana nao, hao wavuta bange wa Arusha. Wao wanawaza kufuga rasta wapate wataliii, wenyewe ni vivutio na yale Meno yao
 
MKUU SALUTE, AKILI KUBWA SANA HII, JAMAA WANAPIGA POROJO NA MATUSI. WAAMBIE WAWEKE DATA KAMA HIZI, (utashangaa wanakuonesha round about ya ccm na samaki anatema maji basi). HAKUNA KINGINE PALE.
sunny safaris 12fl
Esami 14fl
Arusha trade center 11
Nssf florida 12
Nssf kanisa 12
Naura springs 11
Migration 10
Palace hotel 12
Ngorongoro plaza 15
Parrot hotel 15
Ms & dash sakina13
Watumishi housing chagga st 10
Aura mall 10
Salim plaza opp aura mall 11
Qwik plaza opp majis 11
market house (nmb market)10
Natron cbd10
Kibo palace appartments cbd11
Ppf nyerere road10
Ceg plaza opp sheikh abeid st 11
Bro hizi ni ambazo najua zinaitwaje tu kuna ambazo sijui zinaitwaje bado kuna ambazo ziko under construction eg papu 17 fl
Nenda google andika tallest buildings in tanzania kwenye list matatu tu yako nje ya dar na yapo arusha
Nia ya hii post si kuleta ushindan ila that is the reality mwanza mmeishinda arusha kwenye public facilities kama stendi za daladala na madaraja ya waenda kwa miguu ila kwenye suala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi
Nb: watu wa mwanza msiwe offended na ukweli huu nchi ni yetu sote hata sisi tunaweza kuja kwenu na nyie mkaja kwetu msilete ligi za kenya na tz wakati sisi wote ni ndugu na nchi yote ni ya kwetu ajabu ni mtu anabisha wakati hayo majengo ya arusha yanaweza yakamilikiwa na mtu wa mwanza and vice versa
LET LOVE LEAD
 
MKUU SALUTE, AKILI KUBWA SANA HII, JAMAA WANAPIGA POROJO NA MATUSI. WAAMBIE WAWEKE DATA KAMA HIZI, (utashangaa wanakuonesha round about ya ccm na samaki anatema maji basi). HAKUNA KINGINE PALE.
😁😁😁
waache kulinganisha arusha na kituo cha wavuvi
 
Sehemu pekee ni
1. Hapa samaki anatema maji [emoji28][emoji28] na
2. Round about ya CCM Mkoa (yule jamaa kwenye thread No. 1879 kaweka picha 24 za sehemu hiyo tu) mkuu kadelete ibaki moja unajaza server za jamiiforums.[emoji38][emoji38][emoji38]
😁😁😁
Na ile hotel ya capripoint wanayojengewa na serikali (nssf)
 
Back
Top Bottom