Vege
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 338
- 365
hao ni wa kuwapuuza tuKavamia uzi, na hoja dhaifu😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao ni wa kuwapuuza tuKavamia uzi, na hoja dhaifu😀😀😀
Magu alishakataa isifungweHv ile njia ya kwenda Igombe haitafungwa kweli!??
Waghill mkuu wanazidi kupabadilishaIpo wapi hii!?
Vipi mbaya?Zoo siyo!
mkuyuni maghorofaniView attachment 1656167
Hayo maghorofa ya wafanyakazi wa Railway, Kadogosa afanye kitu hapo aisee huo ni uchafu tu kwa sasaNingekua na mamlaka hayo magorofa ningekuwa nimesha yabomoa zamani sana.
Wakuu hiyo meli hapo Tilapia huwa inafanya kazi?
Hiyo haiendi popote, kuna vyumba vya kulala, ni kama cottage.Wakuu hiyo meli hapo Tilapia huwa inafanya kazi?
Ngoja wajuzi zaidi waje.Wakuu hiyo meli hapo Tilapia huwa inafanya kazi?