Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mtaa wa lumumba ila wadai wanasema litaishia gorofa tisa au nane tu, lakini huyu mkandarasi anajenga pia na pale nera kuna site watajenga gorofa 12.
Safi sana ila kama nilivokwambia jitahidi sana ukipita maeneo ya site piga picha kibao cha ujenzi!
Vipi kuhusu pale ghana lile jengo la Royal hospital liko hali gani mkuu?
 
Jamaa wameshamaliza wameishia gorofa nane na underground, sasa wapo kwenye finishing tu na urembo wa juu wa jengo.
Safi sana ila kama nilivokwambia jitahidi sana ukipita maeneo ya site piga picha kibao cha ujenzi!
Vipi kuhusu pale ghana lile jengo la Royal hospital liko hali gani mkuu?
 
Pamoja sana, ujenzi wa majumba ya gorofa sasa imekuwa ni kila mtaa mpaka kangaye karibu kila kona mtu anajenga mpaka naogopa, hakika watu wanalamba asali.
Ndo maana kwenye sensa mwanza ndo ina nyumba nyingi zinazoendelea na ujenzi kuzidi hata Dar!
 
Ndo maana kwenye sensa mwanza ndo ina nyumba nyingi zinazoendelea na ujenzi kuzidi hata Dar!
Ngoja niendelee kupiga picha majengo ya gorofa yenye floor tano na kuendelea ambayo majenzi yake yanaendelea.
 
Mwonekano wa soko kuu kwa sasa japo kwa ndani limekamilika kwa kuweka talazo kwa chini kazi kubwa ni kuweka roof ambayo inaendelea adi kufika mwezi wa pili taswira ya soko itakuwa imeonekana, lakini ili soko ni kubwa balaa
View attachment 2415346
Hili soko bado sijalielewa aisee ... structure yake Iko complex sana kuielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom