Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Hapana nadhani hujamwelewa mapanki, ipo hivi hizo nguzo za viaduct yaani ilo daraja halitafika station kuu bali likifika maeneo ya pepsi litashuka chini nakuendelea kama kawaida adi station kuu.Hivi kumbe station itakuwa hapo chakechake kwny yale mabehewa mabovu?