- Thread starter
- #6,721
Hayo maeneo ukifika tu hata hali ya hewa yake inabadilika , Kuna ubaridi fulani mtamu sana na sauti ya mawimbi ya maji sasa ndo usiseme.View attachment 2453525
Ila huku malaika nyumba zinazojengwa ni hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maeneo ukifika tu hata hali ya hewa yake inabadilika , Kuna ubaridi fulani mtamu sana na sauti ya mawimbi ya maji sasa ndo usiseme.View attachment 2453525
Ila huku malaika nyumba zinazojengwa ni hatari
Miaka 1000 Arusha hawatapa view kama hizi
Hawana maeneo open ya kula bataMiaka 1000 Arusha hawatapa view kama hizi
😀😀😀 buswelu unaiweka ligi na nyamhongolo seriously?? Wewe unaijua buswelu center au? Now nipo biiiiz nitawaletea pichaBuswelu na nyamhongolo hazina tofauti, ila kwa mtazamo wangu buswelu pamejengeka lakini ukinambia maeneo bora matano buswelu haiwezi kuwemo.
Sasa hapo ukitoa Capri point na bwiru wapi pengine panaizidi nyakato na nyegezi?1.Capripoint
2.bwiru
3.ilemela.
4.isamilo
5.Nyasaka
Mkuu nyamhongolo unaijua hiyo ya stendi tu nafikiri hakika huijui nyamhongolo, pili buswelu huiwez kuilinganisha na developed areas kama capripoint na bwiru, buswelu ni developing area kama ilivyo kishiri au shamaliwa.😀😀😀 buswelu unaiweka ligi na nyamhongolo seriously?? Wewe unaijua buswelu center au? Now nipo biiiiz nitawaletea picha
Buswelu ukichukua nyumba moja moja kali ukizihamisha zitaijaza bwiru,Capri point,isamilo,mwanachi na nyasaka
Kwa wale wenye mda waende upendo primary nyasaka mtaiona buswelu ilivyo ya moto
Nyamhongolo yote naijua anzia hapo stand nenda kupitia hio njia ya huko nyuma unatokea hadi nyamadoke au kuna Nyamhongolo nyingine?Mkuu nyamhongolo unaijua hiyo ya stendi tu nafikiri hakika huijui nyamhongolo, pili buswelu huiwez kuilinganisha na developed areas kama capripoint na bwiru, buswelu ni developing area kama ilivyo kishiri au shamaliwa.
Bwiru,napapenda ila sipakubali ,..nikilinganisha na maeneo mengine ambayo kama isamilo ,, ilemela huko sijafika muda mrefu ila Kwa picha alizotuma laizerg juzi ,,Ile mijengo ya ilemela na mandhari yake , bwiru inyoshe mikono ..... tatizo la bwiru imezungukwa na uswazi wa kitangiri na pasiansi ndo maana hata comfortability yake haionekaniMikkde haipendi bwiru, bwiru kwa sasa ndio eneo pekee linaloweza shindana na capripoint, mengine bado sana
Mkolani Tena ,,,😱...hapa hatuangalii mitaa yenye nyumba za msouth ,,tunaangalia poshy and classic neighborhood ..hizo mkolani ,sijui buhongwa ,ziko kwenye ligi ya mitaa yenye nyumba za msouth...😁Nyamhongolo nzuri ni ile inayopakana na kanyerere, ilemela ya kule Malaika mnayoisifia kwa sasa haifiki hata kwa mkolani darajani kwa chini uko😄
Nyakato ipi Tena .. brother. ,,,maybe mwananchi ...Sasa hapo ukitoa Capri point na bwiru wapi pengine panaizidi nyakato na nyegezi?
😁😁😁 Make kwanza nicheke😀😀😀 buswelu unaiweka ligi na nyamhongolo seriously?? Wewe unaijua buswelu center au? Now nipo biiiiz nitawaletea picha
Buswelu ukichukua nyumba moja moja kali ukizihamisha zitaijaza bwiru,Capri point,isamilo,mwanachi na nyasaka
Kwa wale wenye mda waende upendo primary nyasaka mtaiona buswelu ilivyo ya moto
Chumvi plus 😁😅Ukweli ndio huu miji mingi Mwanza haziwezi kuonesha mabavu kwa capripoint lakini bwiru pekee ndio mji bora unaoweza kushindana au ata kuizid capripoint.
Hivi wakiandika Ilemela wa namaanisha ile ya malaika?Nyamhongolo nzuri ni ile inayopakana na kanyerere, ilemela ya kule Malaika mnayoisifia kwa sasa haifiki hata kwa mkolani darajani kwa chini uko😄
Yeah..hata na mim nakubaliana na hili ..then ilemela wanajenga apartment sana sana ..ila makazi binafsi sio mengiHivi wakiandika Ilemela wa namaanisha ile ya malaika?
Kama ni ile bado sana, ndio kwanza imeanza kujengwa ila litapendeza sana kwa baadae
Kwamba inasubiri tacticsView attachment 2453896
Mheshimiwa anasema February inaanza kupigwa lami
😄😄 Sasa unaongelea ilemela gani? Kule juu umetaja ilemela na nyasaka au unaongelea manispaa nzima ila kama ile ilemela ya kona igombe yenye zile apartments 5 aiseee pale bado sana kwa sasa😀Hivi wakiandika Ilemela wa namaanisha ile ya malaika?
Kama ni ile bado sana, ndio kwanza imeanza kujengwa ila litapendeza sana kwa baadae
Upo mwanza sehemu gani na unamda gani hujafika mkolani sio mkolani barabarani?Mkolani Tena ,,,😱...hapa hatuangalii mitaa yenye nyumba za msouth ,,tunaangalia poshy and classic neighborhood ..hizo mkolani ,sijui buhongwa ,ziko kwenye ligi ya mitaa yenye nyumba za msouth...