KOMANDO YOSO
JF-Expert Member
- Sep 7, 2023
- 744
- 2,682
Viongozi awafikiri mbali mtu kweli anasimama anasema 4 lane paka igoma uyo aoni mbali kiufupi 4 lane inatakiwa adi kuku ISANGIJO uko lakini inasikitisha na kama ulivyoonyesha hofu me pia kitu kingine cha ajabu kuanzia makaburi ya waindi adi voil sijui watabomoa ya nani pale,,,,,,, na i don't think inamake dala apoViongoz wanapuuzia San vitu vyet hasa vya maendeleo mikoa ming iko Makin tu dar na Dom coz wao ndo Mara nying wapo uko majiji mengne wabunge wakilal ndo Imekula kwetu... Lakn pia naon wabunge mza wamelal San mpka msukum anawasemea kuhus uwanja wa ndege.... Inabd kua wasumbuf San wasilale