Mkabara na malaika beachJengo lipo mtaa gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkabara na malaika beachJengo lipo mtaa gan
Shukran... N jipya sio coz nilkua uko mwak Jan sijalionMkabara na malaika beach
Jipya under constructionShukran... N jipya sio coz nilkua uko mwak Jan sijalion
Naongezea kidogo kwenye huu mwonekano wa jengo
Afu yule mbunge wa nyamagna ametulia karidhika tu mbunge mpole Hana amshamasha hata km serkal inazngua ila wawakilish wetu hamn kituSoko litakuja kukamilika mwezi wa sita na kufungiliwa rasmi mwezi wa nane, toka mwaka 2019 soko bado linajengwa tu hii hawamu ni hatari asee.
Hii inaoken km apartmentNaongezea kidogo kwenye huu mwonekano wa jengo
View attachment 2883143
Soko la kujengwa miak 4 sas duh kwnz wameanz kubadilsh renda juu kwa juu na hii serkal na upigaji mmh izo bati za bei rahis bas izo mbao wanajenga km masoko ya zamn ten wakt n soko la kisasa
Ilo soko lilimuondoa Eng. Robert Gabriel kwa kufatilia sana, achana na hii nchi iliyojaa uchawa, mbunge naye atanapambana sana lakini hakuna namna inabidi kusifu juhudi hili apate hata kamradi ka matundu ya vyoo na madawati.Afu yule mbunge wa nyamagna ametulia karidhika tu mbunge mpole Hana amshamasha hata km serkal inazngua ila wawakilish wetu hamn kitu
Wanakuambia bilion 23+Soko la kujengwa miak 4 sas duh kwnz wameanz kubadilsh renda juu kwa juu na hii serkal na upigaji mmh izo bati za bei rahis bas izo mbao wanajenga km masoko ya zamn ten wakt n soko la kisasa
Inaezkn pia maan mji wa mwnz unatumik kisiasa km seem ya kupt kura ikifk mwshon kikifanyik kitu kidog mwnz media km zote lakn dsm vinafanyik vitu vikubw wala havishangaz... Dats y big gape btn two citiesIlo soko lilimuondoa Eng. Robert Gabriel kwa kufatilia sana, achana na hii nchi iliyojaa uchawa, mbunge naye atanapambana sana lakini hakuna namna inabidi kusifu juhudi hili apate hata kamradi ka matundu ya vyoo na madawati.
Dar peke ake inatengewa trilion 1.2+ kwaajil ya kuboresha jiji, majiji mengine kama Mwanza yanawekwa pamoja na miji kama nzega, bunda na miji ya calibre hiyo kwenye mradi wa TACTIC na bado huo mradi haujulikani lini wakandarasi wataingia site, toka mwaka 2021 nasikia mradi wa tactic mpka leo hakuna kilichofanyika, meli toka mwaka juzi tuliambiwa wapo 84% mbaka leo haijulikan itakamilika lini? Bado daraja laJPM tunaombiwa wapo 82% utakuja kushangaa linakuja kuzinduliwa mwaka 2025 wakati wa uchaguzi.Inaezkn pia maan mji wa mwnz unatumik kisiasa km seem ya kupt kura ikifk mwshon kikifanyik kitu kidog mwnz media km zote lakn dsm vinafanyik vitu vikubw wala havishangaz... Dats y big gape btn two cities
Wanakuambia bilion 23+
Inaudhi San ndo Maan Kenya wanatuchek tz Mombasa being second city utashngaa kisumu it's way better kw maendeleo lkn sis tupo na city moja dar afu kwngne n seem ya siasa tu sjui n msoga gang au n nin hawatak seem zingne ziendelee kuhamish tu mji kwend Dom ulikua Kaz wanatak only dar na lkn pia nahis kun mambo ya ukanda na uchama tatzo kubw lipo hapoDar peke ake inatengewa trilion 1.2+ kwaajil ya kuboresha jiji, majiji mengine kama Mwanza yanawekwa pamoja na miji kama nzega, bunda na miji ya calibre hiyo kwenye mradi wa TACTIC na bado huo mradi haujulikani lini wakandarasi wataingia site, toka mwaka 2021 nasikia mradi wa tactic mpka leo hakuna kilichofanyika, meli toka mwaka juzi tuliambiwa wapo 84% mbaka leo haijulikan itakamilika lini? Bado daraja laJPM tunaombiwa wapo 82% utakuja kushangaa linakuja kuzinduliwa mwaka 2025 wakati wa uchaguzi.
Nakukubali sana, picha ni nzuri sana lakni siku hizi picha zako unaziweka mikao mibaya ya sisi wadau kuziangalia🙏
Hii view kali sana👍
Wadanganyika wanakuambia Dar ndio Tanzania, na serikali inavyojua kuwafanya watu wa mikoani wajione dhaifu utasikia Dar inaongoza kwa mapato ya TRA kwa zaidi ya asilimia 80% hapo mtu wa mikoani lazima utulie, watu hawajui haya mapato ya Dar chanzo chake ni huko mikoani na uchumi wa Tanzania umeelekezwa Dar, kil kitu unacholipia iwe vocha, brela, n.k mapato yanahesabiwa Dar.Inaudhi San ndo Maan Kenya wanatuchek tz Mombasa being second city utashngaa kisumu it's way better kw maendeleo lkn sis tupo na city moja dar afu kwngne n seem ya siasa tu sjui n msoga gang au n nin hawatak seem zingne ziendelee kuhamish tu mji kwend Dom ulikua Kaz wanatak only dar na lkn pia nahis kun mambo ya ukanda na uchama tatzo kubw lipo hapo