Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

IMG71.jpg
IMG72.jpg
 
Kwahio huu mji ndio mnalinganisha na Arusha ? Wasukuma mnatabu kwelikweli.
Wewe umeambiwa usilete mambo ya kulinganisha sasa unaleta za kuleta unatutia aibu watu wa Chugastan si ajabu ndio maana Arusha tunadharauliwa vijana tunaitwa wavuta bangi hakuna nguvu kazi ya maana kwa vijana.
Mimi natokea Arusha na niko Mwanza mwaka wa 27 sasa lazima niwe mkweli bila upendeleo Arusha huwezi ilinganisha na Mwanza hata kwa chembe kisa tu eti Arusha imekuwa jiji.
Arusha ina umaarufu tu sababu ya mambo ya utalii wake lakini sio kitu kwa Mwanza hata kwa utajiri wa mali asili na mzunguko wa pesa.
Povu inaruhusiwa najua nitashambuliwa sana na wana AR wenzangu ila wakina Ngosha nilionao huku watu wakarimu mno hawawezi niangusha.
 
Ningekua nashiliki Vikao vya wakubwa ningeshauri wahamishe Hilo Dumpo la maji taka hapo Sabasaba, Eneo limezungukwa na Taasisi kama Chuo cha DIT, Chuo cha wanyama poli, Hospitali ya Sabato, Shule ya Msingi Isenga, Hotel, Soko la Sabasaba, Kiwanda cha Breweries na makazi ya watu unawekaje Dumpo hapo, ni ndio lango la kuingia Mwanza kwa wote wanaokuja na Flight afu unakutana na Harufu kali kishenzi
 
Yeah Wanaboresha Huduma na makusanyo
Niliona kigoma mwalo wa kibirizi ulipokabidhiwa TPA ilikiwa vita.wavuvi wajinga sana wanapenda kujivutia bangi hapo kujiondokea na mizigo bila kuchangia serikali ,kutozana na halmashaur kihorera (mifuko ya watu)

Baada ya kuchukua TPA asee bishara imekuwa serious pamekuwa pasafi ,ajari ziwani zimeshuka ,usalama umeimarika etc
 
Makongamano mengi hufanyikia kwa Tunza Beach na Malaika na ni Lazima upite hapo nashauri watu wa idara ya maji na Halmashauli ya Ilemela waanze kutafuta eneo mbadala japo ni ghali sana ujenzi wa miundo mbinu hiyo walau waanze kufikilia kulitoa hapo ilo Dumpo
 
Niliona kigoma mwalo wa kibirizi ulipokabidhiwa TPA ilikiwa vita.wavuvi wajinga sana wanapenda kujivutia bangi hapo kujiondokea na mizigo bila kuchangia serikali ,kutozana na halmashaur kihorera (mifuko ya watu)

Baada ya kuchukua TPA asee bishara imekuwa serious pamekuwa pasafi ,ajari ziwani zimeshuka ,usalama umeimarika etc
Ni kweli kabisa Serikali ikiamua sehemu inabadilika, ni juzi tu hapa Boat imezama na kuua watu manusura wa ajali wanadai ilikua inavuja hata kabla ya safari kuanza Naamini TPA wataimalisha ukaguzi wa vitu kama hivi
 
Ningekua nashiliki Vikao vya wakubwa ningeshauri wahamishe Hilo Dumpo la maji taka hapo Sabasaba, Eneo limezungukwa na Taasisi kama Chuo cha DIT, Chuo cha wanyama poli, Hospitali ya Sabato, Shule ya Msingi Isenga, Hotel, Soko la Sabasaba, Kiwanda cha Breweries na makazi ya watu unawekaje Dumpo hapo, ni ndio lango la kuingia Mwanza kwa wote wanaokuja na Flight afu unakutana na Harufu kali kishenzi
uko sawa kabisa hii ilikuwa plan ya zamani mimi hebu ngoja niongelee dampo la uchafu wa kawaida zamani sana nadhani ukitoka nje ya mji ukifika Iseni kulikuwa na dampo mji ulipanuka wakahamishia kule Buhongwa kwa mbele nadhani wanaita Nyashishi unaona makazi yamepanukaa Nyashishi napo sasa ni mjini.
Tukija upande wa Dar miaka ya mwanzo ya 1970 hadi kufikia 1987 dampo lilikuwa Tabata serikali imehamisha sina uhakika ni wapi kwa sasa.
Unaona bro sisi waafrica sijui kwanini hatufikiria kitu cha miaka hata 200 mbele.
Nitatoa mfano wa barabara mbili mbili tokea hapo Magomeni hadi Ubungo toka izinduliwe haijapita ziadi ya miaka 35 na nakumbuka waziri flani alifungua bado yuko hai japo mzee kwa sasa mimi wakati huo namaliza chuo na sasa haijapita miaka mara barabara ya mwendo kasi ikabidi ya zamani ifumuliwe.
 
uko sawa kabisa hii ilikuwa plan ya zamani mimi hebu ngoja niongelee dampo la uchafu wa kawaida zamani sana nadhani ukitoka nje ya mji ukifika Iseni kulikuwa na dampo mji ulipanuka wakahamishia kule Buhongwa kwa mbele nadhani wanaita Nyashishi unaona makazi yamepanukaa Nyashishi napo sasa ni mjini.
Tukija upande wa Dar miaka ya mwanzo ya 1970 hadi kufikia 1987 dampo lilikuwa Tabata serikali imehamisha sina uhakika ni wapi kwa sasa.
Unaona bro sisi waafrica sijui kwanini hatufikiria kitu cha miaka hata 200 mbele.
Nitatoa mfano wa barabara mbili mbili tokea hapo Magomeni hadi Ubungo toka izinduliwe haijapita ziadi ya miaka 35 na nakumbuka waziri flani alifungua bado yuko hai japo mzee kwa sasa mimi wakati huo namaliza chuo na sasa haijapita miaka mara barabara ya mwendo kasi ikabidi ya zamani ifumuliwe.
Dampo la Dar lilihamishiwa Pugu kinyamwezi ni mbali hatari kama unaenda Chanika huko, Kwa hilo la maji taka Mwanza limezidi sana ni sawasawa ukaweke Dampo la maji taka kule Msasani kule mbalamwezi Beach kuja mpaka Msasani Beach, afu hapo jirani kuna Hotels na Taasisi zinginezo wapeleke hata igombe huko ama Kayenze au wapeleke palepale Buhongwa wanaeneo kubwa sana kiasi wanaweza kuliweka katikati ya Eneo nalisilete shida sana kama ilivyo hapo Sabasaba, Hilo la Barabara nalo tatizo njia kuu Viongozi waachane na Short term Plan Taifa tunaongezeka kila uchwao tuangalie Long term Plan
 
Ni kweli kabisa Serikali ikiamua sehemu inabadilika, ni juzi tu hapa Boat imezama na kuua watu manusura wa ajali wanadai ilikua inavuja hata kabla ya safari kuanza Naamini TPA wataimalisha ukaguzi wa vitu kama hivi
Ilitokea congo Tpa siwakubali vingi ila usimamizi wa tonage wako vizuri pia mama samia kawajazia usalama wa taia hawawezi
 
Back
Top Bottom