FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijal tutakupa ulinziWewe umeambiwa usilete mambo ya kulinganisha sasa unaleta za kuleta unatutia aibu watu wa Chugastan si ajabu ndio maana Arusha tunadharauliwa vijana tunaitwa wavuta bangi hakuna nguvu kazi ya maana kwa vijana.
Mimi natokea Arusha na niko Mwanza mwaka wa 27 sasa lazima niwe mkweli bila upendeleo Arusha huwezi ilinganisha na Mwanza hata kwa chembe kisa tu eti Arusha imekuwa jiji.
Arusha ina umaarufu tu sababu ya mambo ya utalii wake lakini sio kitu kwa Mwanza hata kwa utajiri wa mali asili na mzunguko wa pesa.
Povu inaruhusiwa najua nitashambuliwa sana na wana AR wenzangu ila wakina Ngosha nilionao huku watu wakarimu mno hawawezi niangusha.
Kukaa mbona update hakunac.c
ichoboy
annel
Hivi pale mkuyuni ni kipi kinaendelea?juzi nilipita nikaona mitambo ya JASSIE ipo kazini.Tumeanza upya na update za Jiji
Mwaka mpya na mambo mapya
Tunamshukuru Mungu mpaka sasa baadhi ya miradi tuliyotamani ifanyike mwanza ipo kwenye hatua nzuri za kuanza
👇
Upanuzi wa barabara ya kenyata km 25 tender ilitangazwa mwezi wa 10 na kufungwa November 2024 ..Hadi sasa wako kwenye hatua za mwisho za kumpata mkandarasi View attachment 3217787
Ni ujenzi wa daraja la mkuyuni pamoja na njia zakeHivi pale mkuyuni ni kipi kinaendelea?juzi nilipita nikaona mitambo ya JASSIE ipo kazini.
Shukrani mkuuNi ujenzi wa daraja la mkuyuni pamoja na njia zakeView attachment 3217833
Saafi sana.View attachment 539866 a special thread for the rocky city.
let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....View attachment 533939 View attachment 533941 View attachment 534071 View attachment 534075 View attachment 534076 View attachment 534078
Uzi ulipoa sana huu.Ngoja turudi rasmi kwenye Uzi wetu.