Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Sawa pole sananilikuwa .nahakikisha mkuu siyo unatoa maneno ovyo tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa pole sananilikuwa .nahakikisha mkuu siyo unatoa maneno ovyo tu...
Hatari sana.aisee tutamisi shujaa wetu mzee wa dishi
pole ya nini mkuu niko na andaa andaa hapa machungwa nataka nimpeĺekee aiseeSawa pole sana
.siku zote hatukujua ni legend kiasi gani...Hatari sana.
aliandika wapi?...hayo mambo? sidhani kama kibarua chake ki salama tena dah....Deo Kisandu anatakiwa kufanyiwa "psychiatric evaluation", kwa maneno yale aliyoandika,mtu unaweka shaka kwamba nimzima.
Na ili kutopata fedheha ya kwenda kumhukumu mtu mwenye matatizo ya akili, serikaliinatakiwa kumpa nafasi ya kuangaliwa na madaktari wa akili wamuangalie.
Mimi kwa kawaida ni mtu ninayepigania sana uhuru wa kujieleza, naisema sana serikali kwa kukamata watu wanaojielezea, ni mtu wa mrengo wa "libertarian", kwa hivyo, kwa kawaida huwa natetea watu wanaotumia uhuru wao wa kujieleza.
Lakini pia, nikiona dalili za matatizo ya akili naona niseme.
Mbona mpaka hapa kuna uzi umeletwa, maneno aliyosema hata mimi Al-Watan ambaye nishaona mambo mpaka ya Copa Cabana na Ibiza siwezi kuyarudia kwa kusitiri mila zetu.aliandika wapi?...hayo mambo? sidhani kama kibarua chake ki salama tena dah....
doh..mkuu tena walipomuhoji sijui ndo alikuwa kamanda akajibu " bora angekua ka kijana ka mtaani haya mambo anafanya mwalimu?" nikajua hapa ndo basi tena..Mbona mpaka hapa kuna uzi umeletwa, maneno aliyosema hata mimi Al-Watan ambaye nishaona mambo mpaka ya Copa Cabana na Ibiza siwezi kuyarudia kwa kusitiri mila zetu.
ana mambo delusional sana uyo jamaa utafikiri hii dunia yuko mwenyew...Ngoja nifatilie habari za huyu kisandu maana jina nalisikia sana
IP address haidanganyiFb kuna acount kama 5 za kisandu watakua wanamuonea sio yeye
Hahahhaahahaaa Jamani huyu mtu anachekesha, si imagine wanafunzi wake watakuajeDish liko up side down