MWANZA: Hivi RC Adam Malima kaletwa kwa kuwa ana uwezo au mkakati tu wa kisiasa?

MWANZA: Hivi RC Adam Malima kaletwa kwa kuwa ana uwezo au mkakati tu wa kisiasa?

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Nasema hivo kwa kuwa tokea aingie kinachofaanyika ni ujuaji na kubishana tu na watendaji wenzake!

Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa kimataifa!

Yeye anakuja na maelekezo yake!

Kikubwa atambue kuwa MWANZA ni mji unaokuwa kwa kasi na unahitaji unanuzi wa miradi ya maji,barabara, usafiri wa anga na kadharika!

Kitendo cha kuleta ujuaji na kelele nyingi badala ya vitendo vitatupotezea mda wanamwanza!

Tunaomba mkuu wa mkoa alete jitihada zinazoleta utofauti wa mkuu wa mkoa aliyekuwepo na aliyepita badala ya kuendekeza siasa!

Pili! Miradi mingi kaikuta kama stendi nyamhongolo,nyegezi na ujenzi wa soko kuu lamini mwendelezo wake si wakuridhisha

Tatu! MWANZA ina uhaba mkubwa sana wa maji ambao unasababishwa na urasimu wa watendaji pamoja na Waziri AWESO kuwa na maneno mengi sana kuliko vitendo pia ubovu wa barabara!
 
Kwa wale wanaomfuatilia Adam Malima yoka alipokiwq waziri wa madini wa JK hivi ame accomplish nini? Tafadhari mtueleze
Nani alikwambia waziri anatekeleza mradi kwa matakwa yake na fedha zake? Ukiona miradi haikamiliki serikali ndiyo kikwazo siyo waziri husika.
 
Mkuu wa Mkoa anatoa maelekezo ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege?!! Na sio wizara? Hii nchi ilisharogwa
 
Huyu Malima ni mdini mkanda na mkabila. Nikikumbuka alivyokuwa anamshambulia Mengi bungeni.

Kitu kimoja tu kizuri kutoka kwake ni mvutaji mzuri sana wa mmea pendwa. Ni jambo zuri ndo kimepelekea tumemsamehe muungeni mkono ila akiacha kuvuta mtemeni.
 
Huyu Malima ni mdini mkanda na mkabila. Nikikumbuka alivyokuwa anamshambulia Mengi bungeni.

Kitu kimoja tu kizuri kutoka kwake ni mvutaji mzuri sana wa mmea pendwa. Ni jambo zuri ndo kimepelekea tumemsamehe muungeni mkono ila akiacha kuvuta mtemeni.
Mda mwingine kuwa kiongozi sio kwamba unaakili sana! Ni bahati tu!
 
Wakuu wa mikoa wengi ni vibaraka wa Rais na mizigo kwa wananchi na mara nyingi hawana msaada kwa wananchi wa mikoa wanayo iongoza. Na hii ni kutona na mfumo mbovu wa uongozi nchini kuendekeza utawala wa kikoloni maana haiwezekani kukawepo mkuu wa mkoa ambaye wananchi hawana mamlaka naye bali yeye kuwa na mamlaka juu wananchi!
 
Nani alikwambia waziri anatekeleza mradi kwa matakwa yake na fedha zake? Ukiona miradi haikamiliki serikali ndiyo kikwazo siyo waziri husika.
Unamaanisha kuwa waziri hapaswi kuondolewa maana kasoro za wizara sio zake?
 
"Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa kimataifa!"

Mm ningependa kujua ,Kwani kuna jengo gani jingine lina jengwa zaidi ya lile lililokuwa linajengwa na halimashauri? na waziri wa ujenzi akaagiza TAA kushirikiana na mkoa kufanyia marekebisho ya kitaalamu.
 
Nasema hivo kwa kuwa tokea aingie kinachofaanyika ni ujuaji na kubishana tu na watendaji wenzake!

Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa kimataifa!

Yeye anakuja na maelekezo yake!

Kikubwa atambue kuwa MWANZA ni mji unaokuwa kwa kasi na unahitaji unanuzi wa miradi ya maji,barabara, usafiri wa anga na kadharika!

Kitendo cha kuleta ujuaji na kelele nyingi badala ya vitendo vitatupotezea mda wanamwanza!

Tunaomba mkuu wa mkoa alete jitihada zinazoleta utofauti wa mkuu wa mkoa aliyekuwepo na aliyepita badala ya kuendekeza siasa!

Pili! Miradi mingi kaikuta kama stendi nyamhongolo,nyegezi na ujenzi wa soko kuu lamini mwendelezo wake si wakuridhisha

Tatu! MWANZA ina uhaba mkubwa sana wa maji ambao unasababishwa na urasimu wa watendaji pamoja na Waziri AWESO kuwa na maneno mengi sana kuliko vitendo pia ubovu wa barabara!
Huyo jamaa muwe careful.
Kuna tetesi za kurikoka!
 
Nasema hivo kwa kuwa tokea aingie kinachofaanyika ni ujuaji na kubishana tu na watendaji wenzake!

Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa kimataifa!

Yeye anakuja na maelekezo yake!

Kikubwa atambue kuwa MWANZA ni mji unaokuwa kwa kasi na unahitaji unanuzi wa miradi ya maji,barabara, usafiri wa anga na kadharika!

Kitendo cha kuleta ujuaji na kelele nyingi badala ya vitendo vitatupotezea mda wanamwanza!

Tunaomba mkuu wa mkoa alete jitihada zinazoleta utofauti wa mkuu wa mkoa aliyekuwepo na aliyepita badala ya kuendekeza siasa!

Pili! Miradi mingi kaikuta kama stendi nyamhongolo,nyegezi na ujenzi wa soko kuu lamini mwendelezo wake si wakuridhisha

Tatu! MWANZA ina uhaba mkubwa sana wa maji ambao unasababishwa na urasimu wa watendaji pamoja na Waziri AWESO kuwa na maneno mengi sana kuliko vitendo pia ubovu wa barabara!
Acha upumbavu usio na tija.
 
Nasema hivo kwa kuwa tokea aingie kinachofaanyika ni ujuaji na kubishana tu na watendaji wenzake!

Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa kimataifa!

Yeye anakuja na maelekezo yake!

Kikubwa atambue kuwa MWANZA ni mji unaokuwa kwa kasi na unahitaji unanuzi wa miradi ya maji,barabara, usafiri wa anga na kadharika!

Kitendo cha kuleta ujuaji na kelele nyingi badala ya vitendo vitatupotezea mda wanamwanza!

Tunaomba mkuu wa mkoa alete jitihada zinazoleta utofauti wa mkuu wa mkoa aliyekuwepo na aliyepita badala ya kuendekeza siasa!

Pili! Miradi mingi kaikuta kama stendi nyamhongolo,nyegezi na ujenzi wa soko kuu lamini mwendelezo wake si wakuridhisha

Tatu! MWANZA ina uhaba mkubwa sana wa maji ambao unasababishwa na urasimu wa watendaji pamoja na Waziri AWESO kuwa na maneno mengi sana kuliko vitendo pia ubovu wa barabara!
Malima wakati akiwa waziri kwa JK aliibiwa bastola guest na wale wadada wa Kaumba
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Suala la jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza ni la kisiasa na kiuchumi, ilani ya ccm 2020-2025 imetaja kujenga jengo la abiria la kimataifa Uwanja wa ndege Mwanza. Lakini kinachofanyika ni ngojera tu jengo la sasa halifai hata wangefanyaje tangu mwanzo maelekezo ya kujenga kwa force account bila kuhusisha wataalam wa sekta ya anga na viwanja vya ndege yalikuwa makosa makubwa,RC akubali kushirikiana na TAA na TCCA ikibidi wamwombe rais atoe kibali kujenga jengo lingine terminal 2 kwa mahitaji ya kimataifa na linalojengwa sasa liwe terminal 1 kwa ajili ya domestic tu iwapo kuna nia ya kweli kwa jiji hili.
 
Nani alikwambia waziri anatekeleza mradi kwa matakwa yake na fedha zake? Ukiona miradi haikamiliki serikali ndiyo kikwazo siyo waziri husika.
Serikali ni kuanzia nani? Maana baada ya waziri juu yake Kuna rais.
 
Nasema hivo kwa kuwa tokea aingie kinachofaanyika ni ujuaji na kubishana tu na watendaji wenzake!

Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa kimataifa!

Yeye anakuja na maelekezo yake!

Kikubwa atambue kuwa MWANZA ni mji unaokuwa kwa kasi na unahitaji unanuzi wa miradi ya maji,barabara, usafiri wa anga na kadharika!

Kitendo cha kuleta ujuaji na kelele nyingi badala ya vitendo vitatupotezea mda wanamwanza!

Tunaomba mkuu wa mkoa alete jitihada zinazoleta utofauti wa mkuu wa mkoa aliyekuwepo na aliyepita badala ya kuendekeza siasa!

Pili! Miradi mingi kaikuta kama stendi nyamhongolo,nyegezi na ujenzi wa soko kuu lamini mwendelezo wake si wakuridhisha

Tatu! MWANZA ina uhaba mkubwa sana wa maji ambao unasababishwa na urasimu wa watendaji pamoja na Waziri AWESO kuwa na maneno mengi sana kuliko vitendo pia ubovu wa barabara!
Mwanza imefikia hatua kuoga walau mara moja kwa siku ni ANASA, hali ni mbaya sana hao akina Malima na Aweso ni vilaza tu kazi iliyobaki ni kujikomba kwa huyo mama yao kwa kumpa sifa kedekede asizostahili.
 
Back
Top Bottom