Kikwete mkweli Sana anajisemeaga kwamba Hana Cha kujivunia Mana kilakitu alitengenezewa na babu yake na akina nyerere
Huyu malima baba ake ndo anamfanya awe anazurula ofisni za umma
Mzee malima huko aliko alale salama japokua mwanae hajaribu kufanya Kama yeye alivofanya ndani taifa hili