Uchaguzi 2020 Mwanza Huduma adaiwa kumwaga pesa kama Njugu Bunda Mjini akisindikizwa na Viongozi wa CCM Wilaya

ataishia hapo wazichuke tu ten waombe na zaidi lakini hakatizi kamati kuu!
 
Kwa mwana ccm wa kawaida akishapewa kushika uchumba lazima amchague huyo gabachori

In God we Trust
Huyo ni asili yake hata asingepewa angemchagua,muhimu wamwage hela tu tugawane halafu saa ya kura ndo watajua kuwa kura ni siri.
 
Nipo hapa madras india [emoji1128] kwa mwezi wa tatu sijawahi kumuona mwafrika akiongoza hata kitongoji. Nashangaa huko kwetu wahindi ndiyo wameshika hatamu

In God we Trust
Acha ubaguzi usio kuwa na mantiki. Hawa ni watanzania wenye asili ya India babu zao waliletwa na wakoloni kujenga reli. Sasa unataka kuwabagua bila sababu.
 
Pascal Mayalla,
Tatizo Ni Sheria ya uchaguzi khs suala la bajeti na matumizi ya kampeni kutoainishwa vizuri... Hiyo Ni fursa kwa watia nia, wapambe na wapigika kura.

Sidhani Kama mtu akiamua kugawa fedha zake kwa hiari Ni kutoa rushwa.. Takukuru wangeusika endapo kingekuwa Ni kipindi Cha kampen za uchaguzi.

Kwa kuzingatia muda wa kampeni bado ktk vyama na ktk uchaguzi mkuu..
 
Mimi sioni ubaya wowote Kama kaamua kugawa hela zake bill kunishikizwa na yeyote,,,
Agawe tu
 
Watafuneni tu lkn hapa India hata kwa dawa huwezi kumkuta eti msukuma ni mbunge au mkurya ni mbunge au mdengereko ni mbunge au diwani hapa India
Acha ubaguzi usio kuwa na mantiki. Hawa ni watanzania wenye asili ya India babu zao waliletwa na wakoloni kujenga reli. Sasa unataka kuwabagua bila sababu.

In God we Trust
 
Watafuneni tu lkn hapa India hata kwa dawa huwezi kumkuta eti msukuma ni mbunge au mkurya ni mbunge au mdengereko ni mbunge au diwani hapa India

In God we Trust
Ni kwa sababu hawakupelekwa huko na wakoloni na kuacha masalia ya vizazi vyao.
 
Acha ubaguzi usio kuwa na mantiki. Hawa ni watanzania wenye asili ya India babu zao waliletwa na wakoloni kujenga reli. Sasa unataka kuwabagua bila sababu.
Kwanza huko Madras india ulienda lini? India imezuia ndege zote kuingia na wewe unasema una siku tatu. Ndio maana mnatuwekea X ray picture za mikono ya wanaume ambazo mmezidownload kwenye mitandao ili mpate kick. Mbona mnafeli sana nyie vijana wa Ex Dj. Tumieni akili kuliko nguvu. Mmekuwa na propaganda za kishamba na za kizamani.
 
Ungekuwa na akili usinge ji quote
In God we Trust
 
Kura ni ya siri! HUna sababu ya kuacha pesa ya bwege. Pesa chukuwa ukipiga kura soma akili yako. Kama munaona hiyo ni akili ya kuwa kiongozi basi endeleeni lakini kwa maelezo machache uliyotoa yaonesha hana kitu kichwani kitakachoisaidia Bunda.
 
Mshamba sana sijui huko usagara umetoka lini

In God we Trust
Siwezi hama huku,nipo Nyakagwe naponda mawe yenye hela. We kaa hapo mtaa wa ufipa Ex Dj anaweza kukutoa baada ya uchaguzi 2020 ukapata uRc Moshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…