Mwanza imezizima wananchi wakesha kuusubiri mwili wa mpendwa wao hayati Magufuli utakaowasili saa 1:00 asubuhi!

Mwanza imezizima wananchi wakesha kuusubiri mwili wa mpendwa wao hayati Magufuli utakaowasili saa 1:00 asubuhi!

Sijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.

Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.

Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.

Updates;
Uwanja wa CCM Kirumba umefurika, watu ni wengi kweli kweli na wote wakiwa na sura za huzuni na simanzi.

Kule kwenye mzunguko ambako wamekaa wananchi wa kawaida kulijaa tangu alfajili kabisa kadhalika jukwaa la viongozi limeshasheheni wahusika.

Mwili wa hayati Magufuli umeshawasili uwanja wa ndege wa Mwanza na sasa msafara umeanza kupita katika mitaa mbalimbali ya jiji la Mwanza na baadae kuelekea uwanja wa CCM Kirumba.
Huku kwetu mamba akiuawa tunaenda kumwangalia, ili kujithibitishia kua kweli amekufa?
 
Wewe uvccm acha kutukana basi. Haya matusi yako hayawezi kumrudisha marehemu duniani. Jitahidi unywe maji mengi ili upunguze munkari! Umepaniki sana. 😇
Siku ya kufa wewe utasindikizwa na mbwa...watu hamna hata feelings...stupid guys...Yaani ta shetani ni afadhali he can reason...nyie ni vinyesi...takataka...lifeless...
 
Siku ya kufa wewe utasindikizwa na mbwa...watu hamna hata feelings...stupid guys...Yaani ta shetani ni afadhali he can reason...nyie ni vinyesi...takataka...lifeless...
Ukifuata huu ushauri wangu! Hakika utapendwa na kila mtu. Ukiwa ni Mtu wa kupenda Haki na Usawa kwa wote! Ukiwa siyo mtu wa kupenda ubabe, uonevu, ubaguzi, ukabila, umungu mtu, sifa za kijinga, utukufu, dhuluma, ubishi na ukaidi, ujeuri, dharau, ukiburi, nk. Hakuna atakaye kuchukia!

Kinyume na hapo, mtaishia tu kutukana, lakini haiwezi kusaidia chochote!
 
Huku kwetu mamba akiuawa tunaenda kumwangalia, ili kujithibitishia kua kweli amekufa?
Na itokee huyo mwamba 🐊aliua na kujeruhi watu wengi hapo Kijijini! Basi Kijiji kizima kitafurika kwenda kumshangaa huyo Mamba Mla Watu!!
 
kuwajaza wananchi ujinga si jambo zuri - wanaweza kuuana bure wakifikiri mwisho wa dunia ndiyo umeshafika.
 
Back
Top Bottom