Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Mwanza Bwana ni Jiji linalokua kwa kasi sana, hilo linatokana na watu kuongezeka na Serikali imeweka miradi mingi ya kimkakati katika jiji hilo, lakini cha ajabu ni kwamba Mwanza ni mji unaoongoza kwa kuwa na mbuzi (wanyama) ambao hawana mwenyewe.
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia mbuzi wakikatiza barabara ya Nyerere kwenda Posta, kinachonishangaza ni kwamba hao mbuzi huwa hawagongwi wala nini, sasa majuzi nimeona Kondoo kabisa!
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia mbuzi wakikatiza barabara ya Nyerere kwenda Posta, kinachonishangaza ni kwamba hao mbuzi huwa hawagongwi wala nini, sasa majuzi nimeona Kondoo kabisa!