Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga tuna husika vip na upotevu wa mbuzi mkuu?Dar nako maeneo ya Magomeni mbuzi wasio kua na mwenyewe walikua wengi Sana kabla ya wachaga hawajawa wengi Dar. Sasa hivi hata mbwa wanaozurura mitaani shida Sana kuwaona.
Mbwa utawakuta kuanzia kibaha huko na kwenyewe wako mbioni kutoweka.
Hao ni mbuzi wa kisukuma aka mbuzi watu.Mwanza Bwana ni Jiji linalokua kwa kasi sana, hilo linatokana na watu kuongezeka na Serikali imeweka miradi mingi ya kimkakati katika jiji hilo, lakini cha ajabu ni kwamba Mwanza ni mji unaoongoza kwa kuwa na mbuzi (wanyama) ambao hawana mwenyewe.
Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia mbuzi wakikatiza barabara ya Nyerere kwenda Posta, kinachonishangaza ni kwamba hao mbuzi huwa hawagongwi wala nini, sasa majuzi nimeona Kondoo kabisa!
View attachment 2565551