Mwanza, jiji linaloongoza kuwa na mbuzi watembea bure

Dar nako maeneo ya Magomeni mbuzi wasio kua na mwenyewe walikua wengi Sana kabla ya wachaga hawajawa wengi Dar. Sasa hivi hata mbwa wanaozurura mitaani shida Sana kuwaona.
Mbwa utawakuta kuanzia kibaha huko na kwenyewe wako mbioni kutoweka.
Wachaga tuna husika vip na upotevu wa mbuzi mkuu?
 
Mbuzi wazururaji nahisi kila mkoa hapa Tz wapo, halafu misosi yao sio majani jombaa, Moshi niliwaona wanakula hadi samaki za kukaanga yani umeweka biashara yako yako ya vitafunwa wakipita hao usipokuwepo andika maumivu.
 
Hao ni mbuzi wa kisukuma aka mbuzi watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…