Hapa ndio namimi napoona kumbe nilikuwa sahihi kutoamini habari za magazetiMbona Polisi wametoa taarifa tofauti?
Sawa HamisAcha ukuda
Awe ana angalia hata series zinaweza mjenga Huyu ndugu yetu na kaka etu kigwangala....
KabisaInatakiwa apelekwe mahabusu akapangiwe zam ya kumwaga kimba...π€¨
Sio mlinzi wake binafsi ila analinda mali za Kigwa...Mlinzi anamiaka 66 anamlinda kijana! Haya maisha hatari sana! Sasa unalindaje kinachoweza kukupiga..??
Polisi wa mchongoMbona Polisi wametoa taarifa tofauti?
Kwahiyo Kigwangala ndiye YungophaππAwe ana angalia hata series zinaweza mjenga Huyu ndugu yetu na kaka etu kigwangala....
Aanzie na JUMONG humo atajifunza mambo mengi sana sana ya kuongoza na personal life skills πππ
YoungpoKwahiyo Kigwangala ndiye Yungophaππ