Mwanza: Kigwangalla kuburutwa kortini kwa kumpiga mtu risasi.

Mwanza: Kigwangalla kuburutwa kortini kwa kumpiga mtu risasi.

Mbona Polisi wametoa taarifa tofauti?
Hata mimi nimesikia hivyo

Watu%20wameanza%20kufukua%20makaburi%20_joy__joy__joy_%20kosa%20la%20%20%40hamisi_kigwangalla%...jpg
 
Unamuuliza nani?

Tittle umesema "polisi kumburuza kigwangala mahakamani kwa kumpiga mtu risasi" na hiyo habari inasema polisi kumburuza kigwangala mahakamani kwa kumjeruhi mtu.
Huoni habari zinakinzana?
 
Tittle umesema "polisi kumburuza kigwangala mahakamani kwa kumpiga mtu risasi" na hiyo habari inasema polisi kumburuza kigwangala mahakamani kwa kumjeruhi mtu.
Huoni habari zinakinzana?
Zinakinzana wapi?
 
Hatimaye nguvu ya social media imeonekana. Huyu bazazi lazima akapambane kwa Pilato kwanza
Tukiwaambia kuwa Magufuli alikuwa anapenda mijitu ya HOVYO muwe mnatuelewa. Kigwangalla ni jitu la hovyo sana, limewahi kuua mtoto wake wa kuzaa kwa ajili ya kafara ya kupata cheo
 
Back
Top Bottom