Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 ahukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua watu wawili kwa kukusudia

Asante waliopitia magereza wamekuelewa hapa..anakaa jela Kama mwaka mmoja iv afu anakata rufaa..amini kwamba anatoka kiulaini
Wanasema kama kuna watu wenye imani kubwa sana ya kutoka jela basi ni wale waliohukimiwa vifungo vya maisha na wale wa condemn(waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa).

Kosa dogo tu kwenye mwenendo wa ushahidi linawafanya waachiliwe huru kwenye rufaa
 
Ilikuwa hivi, mama anavaa kama vile wanavyovaa wakina mama wa nchi za falme za kiaarabu. Wakishatoa hiyo "haramu" kwa mlinzi, kuna chumba ambacho wanakaa mahabusu, basi mama anaruhusiwa kumlisha baba chakula, anajifanya kujibebisha, anashusha zile nguo zake pana kwa hiyo sio rahisi kuonekana sana,...
 
Yaani umwamba na kujiamini hadi jela!
Ila kwa hukumu hii, kiburi kitaisha chenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upumbavu wa watu wa ile kanda, ubabe ambao hauna maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wa matajiri wa kanda ya ziwa hela wameipatia kwenye njia za magendo haswa uhalifu.

Kwani si hata huyu mbunge mwenye hela zake ng'ombe zetu katuibia sana.
Halafu ni marafiki wakubwa na mapolisi kwahiyo kwa ishu ndogondogo hupati haki labda ishu nzito kama za mauaji.
 
Basi zake bado zipo barabarani kweli
 
Hapo sheria imechukua mkondo wake lakini bana haya mambo haya si ajabu akaja kukata rufaa na akashinda.
. .Kama uliweza 'kuwekwa' ndani MIAKA SITA' Ukitafutwa Ushahini wakati ameonekana akiwaua jamaa. Hakuna lisilowezekana Mkuu...
 
Huyo jamaa nilijua hiyo kesi itamkalia vibaya sijui alifikiria nini kuua watu wawili harafu Jamhuri ikuangalie tuu kisa una mabasi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…