[emoji173][emoji173][emoji173] na zamani mkuu ila sasa nina kiroba cha tunguli sijui takiweka wapiMkuu saa tano utakuwa nata!
Chukua boda hapo waambie wakulete MWANZA LIVE!
utakuta nimekuandalia balimi tano za baridi na watoto wawili wakali wakuondolee uchovu wote wa safari!!
Mwanza live ni wapi?Mkuu saa tano utakuwa nata!
Chukua boda hapo waambie wakulete MWANZA LIVE!
utakuta nimekuandalia balimi tano za baridi na watoto wawili wakali wakuondolee uchovu wote wa safari!!
Huhuuu shetemba pahovyoo wanawake wanajiuza hapo hadi wazeeKaribu, utanikuta SHETEMBA BAR nakula bia!
Mkuu umesema mambo ya matunguri ulishaacha!![emoji1787][emoji1787][emoji173][emoji173][emoji173] na zamani mkuu ila sasa nina kiroba cha tunguli sijui takiweka wapi
Ukitoka stand ya zamani ya buzuruga unapandisha hiyo msoma road kabla hujafika nyakato sokoni mkono wa kushoto!Mwanza live ni wapi?
Si anakupokea hapo nata unampa manyangara yake yote afu we chap kweye boda unakuja!Ni ya mteja mkuu mimi ni mbebaji tuu
Wengi wao ni waathirika wa UTI na HIVUkitoka stand ya zamani ya buzuruga unapandisha hiyo msoma road kabla hujafika nyakato sokoni mkono wa kushoto!
Hapo kuna warembo wa kila aina na kila saizi[emoji1787][emoji1787]
Karibu sana Malimbe uje ujionee uumbaji wa MunguNimebakisha kilometres 400 hivi kufika.. Ndio nimetoka Singida muda si mrefu
See you there..! When you see me...! Over the top[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Mkuu umeshawapima!!?Wengi wao ni waathirika wa UTI na HIV
Kilinge kinasoma taarifa mbovu acha akasake kwa mawimbi ya kanda ya ziwa labda chenga chenga zitapunguaKilinge umemuachia Nani!
🥰🥰🥰🙏[emoji173][emoji173][emoji173]
Nikufanyie booking hapa Golden Crest? Room ya lakiNakuja mkuu