Mwanza, Mwanza Mwanza mie leo mgeni wenu

Unapita national?
Mkuu yaani kabla hata ya nyakato sokoni!

Ukitoka buzuruga stand, unaipita shell imeandikwa camel, unalipita hilo daraja unapandisha juu kama unaenda nyakato sokoni!
Juu ya hilo daraja mkono wa kushoto kuna mabasi mengi mengi ya TATA huwa yanapaki hapo unayapita hayo mabasi utakutana na bango limeandikwa MWANZA LIVE!
 
Kilinge kinasoma taarifa mbovu acha akasake kwa mawimbi ya kanda ya ziwa labda chenga chenga zitapungua
Kanda ya ziwa ndio kuzuri kule, nadhan atarudi mzito... Alishaanza kuwa mwepesi wateja wakanza kukimbilia kwa kuhani!!
 
Mara ya mwisho nilipoenda bia nilinywea Bundesliga kulala Victoria Hotel
 
Chimbo lolote utalofikia la kupigia vyombo nishtue nije kukupa campan,
Iwe bucket, Cask au Diamond kote nitafikaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…