Wala hakuna walipokwama, sio elimu, sio ujinga na sio ushirikina maana umeambia ni wizi wa mihogo kwa mujibu wa taarifaWasukuma, shida iko wapi? Elimu, ujinga, ushirikina uliopitiliza!!!
Shida iko wapi kwa watu wa Kanda ya Ziwa?
"nyinyi wasukuma"?Sipendi mambo ya ukabila lakini ukweli ni kwamba sisi Wasukuma wengi wetu ni watu washamba na wajinga sana!
Imani za kishirikina zina Nguvu sana na mbaya zaidi wanaendelea kurithishana kizazi hadi kizazi!
Haki za Binadamu kwa Wasukuma ni msamiati mgumu sana!
Wewe msukuma wa mchongo..yani unakana mila natamaduni unashadadia za wazungu na waarabu..ndoho kaji aha.Sipendi mambo ya ukabila lakini ukweli ni kwamba sisi Wasukuma wengi wetu ni watu washamba na wajinga sana!
Imani za kishirikina zina Nguvu sana na mbaya zaidi wanaendelea kurithishana kizazi hadi kizazi!
Haki za Binadamu kwa Wasukuma ni msamiati mgumu sana!
Ninaamini na wanaukoo waliouza shamba la marehemu bila kfahamisha mjane nao ni wahusika wakamatwe waunganishwe kwemue kesi.David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.
View attachment 2410526
View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
Wasukuma, shida iko wapi? Elimu, ujinga, ushirikina uliopitiliza!!!
Shida iko wapi kwa watu wa Kanda ya Ziwa?
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.
View attachment 2410526
View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
Jicho la Mwewe! AsanteTusha fika tar 05/12/2022 jeshi la polisi liko mbele sana ya mda hadi matukio ya mwezi wa 12 /2022 tusha yafikia
Mie pia ngosha nawajua vizuri watu hawa Wana maamuzi ya kijinga sana some timesHaiishi kesho Wala keshokutwa,mimi ngosha..najua ndugu zangu wakoje
sheria mkononiDavid Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.
View attachment 2410526
View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
Elimu.Wasukuma, shida iko wapi? Elimu, ujinga, ushirikina uliopitiliza!!!
Shida iko wapi kwa watu wa Kanda ya Ziwa?
kwa kweli jeshi letu linaenda na wakati tayari limecover matukio ya disemba 2022!David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.
View attachment 2410526
View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
Ukurasa wa 2 unaonyesha TUKIO LIMETOKEA 05/12/2022 yaani MWEZI UJAO.David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.
View attachment 2410526
View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529