Mwanza: Mwenyekiti wa CCM, Diwani, Afisa Mtendaji washikiliwa kwa tuhuma za mauaji kisa wizi wa mihogo

Mwanza: Mwenyekiti wa CCM, Diwani, Afisa Mtendaji washikiliwa kwa tuhuma za mauaji kisa wizi wa mihogo

Wasukuma, shida iko wapi? Elimu, ujinga, ushirikina uliopitiliza!!!

Shida iko wapi kwa watu wa Kanda ya Ziwa?
Wala hakuna walipokwama, sio elimu, sio ujinga na sio ushirikina maana umeambia ni wizi wa mihogo kwa mujibu wa taarifa

Kuiba sio ukosefu wa elimu maana wezi wengi ni wasomi

Kuuza shamba isivyohalali ni utapeli na utapeli hufanywa na wasomi pia

Tatizo la kanda ya ziwa ni nature, kwa sisi wazawa wa kanda hiyo, ukisema elimu au ujinga tutakukatalia kata kata, kuna zaidi ya hizo nadharia
 
Sipendi mambo ya ukabila lakini ukweli ni kwamba sisi Wasukuma wengi wetu ni watu washamba na wajinga sana!
Imani za kishirikina zina Nguvu sana na mbaya zaidi wanaendelea kurithishana kizazi hadi kizazi!
Haki za Binadamu kwa Wasukuma ni msamiati mgumu sana!
"nyinyi wasukuma"?

Imani za kishirikina sio ushamba wala sio ujinga na hilo hawafanyi wasukuma tu, hivyo kigezo cha ushirikina hakiwezi kutumika kuconclude kuwa wasukuma ni washamba au umesahau kuwa ni hapahapa jf kulikuwa na taarifa ya paul pogba kutofautiana na kaka yake kwa tuhuma za ushirikina, je, pogba ni msukuma?
 
Sipendi mambo ya ukabila lakini ukweli ni kwamba sisi Wasukuma wengi wetu ni watu washamba na wajinga sana!
Imani za kishirikina zina Nguvu sana na mbaya zaidi wanaendelea kurithishana kizazi hadi kizazi!
Haki za Binadamu kwa Wasukuma ni msamiati mgumu sana!
Wewe msukuma wa mchongo..yani unakana mila natamaduni unashadadia za wazungu na waarabu..ndoho kaji aha.

#MaendeleoHayanaChama
 
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.

Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.

View attachment 2410526


View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
Ninaamini na wanaukoo waliouza shamba la marehemu bila kfahamisha mjane nao ni wahusika wakamatwe waunganishwe kwemue kesi.

Wanhefuata utaratibu marehemu asingefikwa nanumauti
 
Tukisema CCM ni chama cha mazuzu hatudanganyi jamani. Msishangae baada ya siku tatu mkawakuta mtaani, wametokaje, majibu hamna.
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.

Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.

View attachment 2410526


View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
 
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.

Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.

View attachment 2410526


View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
sheria mkononi
 
Niwasaidie kidogo ktk hili.
Ni hivi huyu mtuhumiwa (Jetu) marehemu kisa chake kinaanza baada ya yeye na wanawe wawili wa kiume kutuhumiwa kumuua baba yao kisa mali (mashamba).

Jetu na mumewe walishatengana kitambo sasa shida ikaja baada ya huyo mume kuoa mwanamke mwingine, watoto na mama yao walidai haki yao kama ilivyo kawaida.
Siku kadhaa zilizopita mume aliuwawa na watu wasiojulikana akiwa shambani kwake. Kwakua inshu nzima wananzengo wanaijua main suspect alikua ni huyo Jetu na wanawe.
Sasa kama mjuavyo ndg zetu hawa (wasukuma) kwa mihemko ilibidi uitishwe mwano (ukunga) wakafanyikiwa kumkamata marehemu pekee kwani vijana wake walifanyikwa kuchimba.
Ripota wangu ni ticha mmoja hapo ikoni anadai kifo alichokufa ni kibaya kwani alifunikwa na matawi ya mti wa mwembe akiwa hai Kisha ukawashwa moto, video inatisha.
Watuhumiwa wa tukio wamekimbia Sasa inabidi viongozi wasaidie katka kuwabaini, si kweli kwamba viongozi wameshiriki ujinga huo.
 
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.

Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.

View attachment 2410526


View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
kwa kweli jeshi letu linaenda na wakati tayari limecover matukio ya disemba 2022!
 
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.

Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.

View attachment 2410526


View attachment 2410527
View attachment 2410528
View attachment 2410529
Ukurasa wa 2 unaonyesha TUKIO LIMETOKEA 05/12/2022 yaani MWEZI UJAO.

Umakini zero kabisa.
Anyway hata hivyo Polisi wote ni la SABA C.
 
Back
Top Bottom