Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously? 😳
Iweje Dar wawe low priced kuliko wanapovuliwa?
Au ndio yale mambo ya kula mapank alafu fresh meat inasafirishwa so ukiitaka fresh meat in Mwanza inakuwa ghali maana ni kama magendo vile?🤣🤣Haya ni maajabu, nilishawahi wauliza, wanatoa macho tu, kwenye migahawa lakini, sio fresh
Utaomba ruhusa jobTatizo ruhusa sasa mzee anakaba kweli
Sidhani kama imeandikwa kitabuni mpaka ujue umejua.Sema Ramadhan haendani na kitimoto
mmhhAchana na kitimoto ukiwa Mwanza....
Furahia namdhari ya nyumba ndani ya mawe na milima ya mawe, wakazi wataalam wa kunyonga baskeli nakadhalika.
Kama ni mdau a kupenda msosi basi kula Samaki wanaopatikana huko kama chakula kwa muda uko huko hadi utapoondoka.
Sato au Sangara wa supu/mchemsho
Sato au Sangara wa kuchoma
Sato au Sangara wa kukaanga
Sato au Sangara aliyechovywa mchuzi
Ukitaka kubadili ladha agiza wale waliokaushwa /vibambala.
Ukiweza kulumangia dona na dagaa la Mwanza basi utakuwa ume vyeza sana.
Kila la kheri.
Missing you 😍
tilapia hotelNiko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
Pansitwa AndisKuna sehemu hapo mbele kidogo ya daraja la Rock City Mall, upande wa kulia. Wana kitimoto tamu
The Cask 🪣🪣🪣Niko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
Hapa kilo wanauzajeThe Cask 🪣🪣🪣
mkuu nilienda nikaonja hapo si mbaya ingawa kiwanja hakina mambo mengiPansitwa Andis
Heeeh Tilapiatilapia hotel