Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #41
Hii ndo kwanz naisiki!!Bugando Digital Pub
Iko bugando au mitaa gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo kwanz naisiki!!Bugando Digital Pub
inategemea na mitaamwanza usiku vyakula ni vyakutafuta na tochi
Naijua hiyo ila saizi nasikia hawachomi tena hapo sijui mpishi alikufaFogo Pub, Iko ka unaelekea TBL upande wa kushoto.
Wanachoma, walikuwa wakaka 3, alofariki ni mmoja wao.Naijua hiyo ila saizi nasikia hawachomi tena hapo sijui mpishi alikufa
Pale kwa washua wastaarabumkuu nilienda nikaonja hapo si mbaya ingawa kiwanja hakina mambo mengi
SinaiNiko Mwanza kitaliii….
wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
nimewai enda hapo n pachafu na papo local sana.Ila nyama za kutoshaSinai
napapqta hapoSinai pale kwenye ma garage unashuka mkono wa kushoto kama unaenda mton huta jutia pesa yako
flex na mafoil nitaenda1. Flex - ika karibia na jiji
2. Sparrow - iko karbia na daraja la rock city mall
3. Sinai - iko njia ya buzuruga
4. Mafoil - iko nyegezi karbia na stendi
5.
aise...mtalii umetishaHeeeh Tilapia
Kilo sh ngap
Tilapia vitu gharama lazma niulizeaise...mtalii umetisha
Ulikula nyama? Na kama ulikula je uliugua? Na kama hukuugua kwanini upaite pachafu? Pale ni machinjio ya kitimoto, kila aina ya kitimoto pale utaipata, kwa wale wezangu wasio na nguvu pale kuna supu ya makende ya pig ukipiga bakuri 2 au 3 shem maji ataita mma.nimewai enda hapo n pachafu na papo local sana.Ila nyama za kutosha
Kuna sehemu hapo mbele kidogo ya daraja la Rock City Mall, upande wa kulia. Wana kitimoto ta
Andy Liquor storeKuna sehemu hapo mbele kidogo ya daraja la Rock City Mall, upande wa kulia. Wana kitimoto tamu
Ilishafungwa ikahamia buswelu nako wakafungaFogo Pub, Iko ka unaelekea TBL upande wa kushoto.
5.Jojoz pub,1. Flex - ika karibia na jiji
2. Sparrow - iko karbia na daraja la rock city mall
3. Sinai - iko njia ya buzuruga
4. Mafoil - iko nyegezi karbia na stendi
5.
Sparrow wanakiti moto tamu sanaflex na mafoil nitaenda
Fogo Pub ipo na nimekula kitimoto hapo last week, na wanaochoma ni haohao akina Kalisa sema wamebaki wawili mmoja yuko hapo mwingine yuko anakuwa anazunguka..mwenzao alifariki kwa ajari mwaka jana akitokea Malaika.Ilishafungwa ikahamia buswelu nako wakafunga
Na faza wa lile chimbo tumemzika mwaka jana