Mwanza ni zaidi ya Lindi na Mtwara

Mwanza ni zaidi ya Lindi na Mtwara

"Weekend nitaenda mitaa ya Butimba, Kirumba na Nyakato then nitamalizia Nyamanoro na Nyegezi ( sema njmeambiwa Nyegezi wengi sio wazawa ni wageni wamekuja kusoma SAUT)"

Kwa mpangilio wako wasafari inaonyesha kabisa mkuu hi ni stori kama stori zingine au ni seme ni chai........
Wewe kama ni mwenyeji wa Mwanza basi utakuwa very poor in geography and mathematics.

Yani hata Mimi ambae Mwanza nimekuja juzi nakushinda mkuu..

Ni kwamba hukwenda shule ama?

Hujui hesabu?


Weekend = Ijumaa Jumamosi plus Jumapili.

Ndani ya hizo siku 3 ninashindwa vipi kutembelea mitaa hiyo niliyo itaja?

Leo ijumaa si ihesabu kwa sababu nina appointment na PAPUCHI 2 so nitafanya zoezi hilo kesho Jumamosi na keshokutwa jumapili.

Kesho jumamosi: BUTIMBA + NYEGEZI.


Butimba + Nyegezi = Njia moja hiyo.

Asubuhi naenda kupiga misele Butimba nafanya SITUATIONAL ANALYSIS ambayo najua wewe hujui ni kitu gani

Then after that naenda zangu Nyegezi.

Nikitoka Nyegezi naenda kulala lodge Nyakato. Asubuhi napiga misele hapo Nyakato then mchana naenda Kirumba napiga misele hapo kisha namalizia Nyamanoro kwa sababu Kirumba na Nyamanoro ni pua na mdomo. Nalala Nyamanoro,asubuhi naamkia Airport kwa sababu kutoka hapo Nyamanoro a Airport sio mbali.

Hesabu ndogo kama hii inakushinda vipi?
 
Umenikumbusha mshkaji wangu aliewahi kumkuta jirani yake mrembo na mpole ameJipanga pale vitunguu ya zamani anajiuza, buku 2000 kwa tukio. Sasa hivi kuwa na mke mmoja ndio sifa maana wanawake ukiwafukuzia ni wengi na wepesi kuliko miaka yote tangu nchi ipate muungano. Unachoandika sio sifa ni udhaifu.
 
Wenzetu wakina Karl Peters na Christopher Columbus walikua wakitembea sehemu tofauti na kwao walikua wanangalia fursa za uwekezaje, sisi tunaangalia sehemu ya kukojolea
Mkuu mimi sijaja duniani kuji stress mkuu. Nimekuja duniani kustarehe. Wao kina Karl Peters walikuwa wanafanya kilicho waleta duniani.. kuji stress
 
Wewe kama ni mwenyeji wa Mwanza basi utakuwa very poor in geography and mathematics.

Yani hata Mimi ambae Mwanza nimekuja juzi nakushinda mkuu..

Ni kwamba hukwenda shule ama?

Hujui hesabu?


Weekend = Ijumaa Jumamosi plus Jumapili.

Ndani ya hizo siku 3 ninashindwa vipi kutembelea mitaa hiyo niliyo itaja?

Leo ijumaa si ihesabu kwa sababu nina appointment na PAPUCHI 2 so nitafanya zoezi hilo kesho Jumamosi na keshokutwa jumapili.

Kesho jumamosi: BUTIMBA + NYEGEZI.


Butimba + Nyegezi = Njia moja hiyo.

Naenda kupiga misele Butimba nafanya SITUATIONAL ANALYSIS ambayo najua wewe hujui ni kitu gani

Then after that naenda zangu Nyegezi.

Nikitoka Nyegezi naenda kulala lodge Nyakato. Asubuhi napiga misele hapo Nyakato then mchana naenda Kirumba napiga misele hapo kisha namalizia Nyamanoro kwa sababu Kirumba na Nyamanoro ni pua na mdomo. Nalala Nyamanoro,asubuhi naamkia Airport kwa sababu kutoka hapo Nyamanoro a Airport sio mbali.

Hesabu ndogo kama hii inakushinda vipi?
Mkuu unaendelea kujikanyaga mwenyewe, yetu ni macho wala hatukubishie,........njia ya muongo ni fupi umesha kamatwa hi ni chai kabisa.
 
Umenikumbusha mshkaji wangu aliewahi kumkuta jirani yake mrembo na mpole ameJipanga pale vitunguu ya zamani anajiuza, buku 2000 kwa tukio. Sasa hivi kuwa na mke mmoja ndio sifa maana wanawake ukiwafukuzia ni wengi na wepesi kuliko miaka yote tangu nchi ipate muungano. Unachoandika sio sifa ni udhaifu.
Mkuu, i am regretting to tell u that ur living in the 80s. I command u to walk out of ur 80s into the 2020s
 
Upuuzi mwingi sana,
Wanawake tu ndio ulioona wa kuongelea tofauti uliopima wewe.
Malaya wapo kila mahali km ndicho unapima we ni poyoyo.
 
"Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi mnateketea kwa kuendekeza Umalaya". - Joseph Haule(Prof Jay)
 
Nimeingia Rock City juzi. Aisee I must admit that Mwanza ni zaidi ya Lindi na Mtwara kwenye sekta ya warembo na upatikanaji wao..

Warembo wa mwanza :
1. Wasafi wazuri wapo classic .

2. Sio malaya wakujiuza yani unaweza kupata mademu hata wanne mtaani ndani ya siku moja ( ni sound zako tu ) wanaelewa zaidi sound. Kama msaundishaji mzuri basi utawang'oa wengi sana.

Halafu ni aina ya mademu ambao unaweza ukamtongoza hapo hapo na ukaondoka nae hapo hapo na sio malaya huyo ni demu anakaa nyumbani kwao ila amekuelewa sound zako.

Wengi wamejaaliwa vichungi. Jana nilipiga misele mitaa ya Bugando na Bugarika na Igogo.

Niliwala mademu wawili ( 20 yrs to 22 yrs) halafu nikatengeneza appointment na mademu wengine wanne ambao leo nakula wawili kesho wawili.


I love Mwanza. Weekend nitaenda mitaa ya Butimba, Kirumba na Nyakato then nitamalizia Nyamanoro na Nyegezi ( sema njmeambiwa Nyegezi wengi sio wazawa ni wageni wamekuja kusoma SAUT)

Pale Butimba nitaenda kwenye chuo cha Ualimu kuanzia totoz wanao somea ualimu Grade 3A pale Butimba TTC.

I love Mwanza
"Pale Butimba nitaenda kwenye chuo cha Ualimu kuanzia totoz wanao somea ualimu Grade 3A pale Butimba TTC.".........
Hiyo kozi butimba haipo tena au unasemea butimba ya wapi mkuu? Hi ni chai kubali au kataa
 
20240627_200317.jpg
 
Back
Top Bottom