Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

naona jamáa kaniiiga staili yangu yakutongoza.

unajua ukiwa handsam na mwenye helanyingi kilakitu kizuri unahisi kabisa hiki nikwaajili yangu ni Mimi tuu kukichukua.

akchual sitongozagi nakula qum kibabebabe tu nawala sihongi sana.
Hii tabia iko sana Usukumani na Huko Kwa wahaya mambo yakubembelezana utayakuta Tanga na kwa wazaramo 😅😅
 
[emoji1787][emoji1787] wanaume wa jf mnashangaza[emoji108]
Kuna watu wananifata hadi pm kunitusi kisa hii thread lol
Mlidhani mie bikira Maria au?
Nishapenda Mimi,hivyo yaani[emoji1787]
Binafsi mimi sikulaumu sana ninaangalia upande wa pili maana yawezekana huyo mme wako uliye naye hafanyi chochote labda ana changamoto ya tezi dume au ugonjwa wa kisukari kiasi kwamba anashindwa kutimiza majukumu yake ya kifamilia kwa upande wa mahusiano ya kingono.
Hata hivyo,kama huu ndiyo ukweli inabidi uwe na tahadhari mara unapotoka kuwa mbali na familia yako ukidhani sasa umepata uhuru.Uwe na mtu mmoja ambaye ni mwaminifu awe anakusugua kuondoa tamaa ya kushobokea wanaume eti kisa ni handsome over and out.
 
Bodaboda wanakula sana wake zetu mwanamke mpumbavu akipata tu stress anaenda kukitomb........kikojoleo.
Yeah hii ilinifunza sana nikaamini huenda Nimepewa Funzo maana Dah yule mwanamke hakuwa na kasoro yoyote Mzuri Kiumbo na Kisura mtoto fulani hivi mlaini...

Na so goal kipa alikuwa ni Mfanya biashara Mzuri tu sasa Sjui Jama alikuwa anakwama wapi
 
Miaka 78 uhendisamu ulishaisha binti yangu...ila enzi zangu nilikimbiza balaa. Nilikuwa mtu wa kwanza kuibua pisi kali ya kizungu na kutinga nayo kijijini kwetu Ng'wadobana. Nilikuwa bonge la celebrity yaani!

Ila ndoa zenu hizi za siku hizi na hizi simu zenu hizi kwa kweli hapana. Hapa jana tu nilikuwa na kesi dogo mmoja kampiga mimba mke wa mjeda...Sasa wanapanga eti waitoe 🚮
Ndo utulie sasa macelebrity wa sasa na wainjoi the show dadii
 
Yeah hii ilinifunza sana nikaamini huenda Nimepewa Funzo maana Dah yule mwanamke hakuwa na kasoro yoyote Mzuri Kiumbo na Kisura mtoto fulani hivi mlaini...

Na so goal kipa alikuwa ni Mfanya biashara Mzuri tu sasa Sjui Jama alikuwa anakwama wapi
Labda ana mdomo au hasira hivi vitu ukimbiza sana wanaume ndani
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya[emoji108].

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijal, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua cmu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambia, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.[emoji1787]

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Ndugu mleta mada turudi kwanza pale Rau madukani...wakati huyo shababi ananyakua simu mkononi mwako aliwezaje kutoa pattern au lock ya simu yako kisha aweke namba ajibeep?
Au simu ilijitoa pattern yenyewe baada ya kujua imeingia kwenye mikono ya shababi?
 
Labda ana mdomo au hasira hivi vitu ukimbiza sana wanaume ndani
Hapana vyote hivyo hana ni mpole Sana,Nilikaa naye kwenye mahusiano Bubu kwa miezi miwili (Bila kufanya Naye chchote) zaid ya vingine vya kawaida tu..

Na nilimsoma vizuri sana Nilikuwa namuudhi makusudi nimuone au namkaripia makusudi nimuangalie..

Huwezi amini ni mtu poa sana Sema Ana kitabia cha kuzira sana na anahitaji mda wote kubembelezwa labda hilo linaweza likawa shida kwa baadhi ya wanaume kushindwa ....
 
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Mbona huu mwandiko ni wa Kiume kabisa.

Sema humu jamiiforum watu washajua wakiweka maada za Mapenzi Wanapata reply Nyingi kwaiy mtu anatafuta chochote Ili Mradi afurahishe wasomaji. Mfano kujibadilia jinsia kama huyu mwanaume kuingiza Kuwa mwanamke Ili mradi apate attention ya watu na kuwapelekea Uoga kwa Vijana Ili waogope.

But all in all hii ni chai kutoka kwa Mwanaume.
Kama ni kweli basi wewe n Malaya na upo sokoni una promote kile unacho kiuza.
 
Back
Top Bottom