Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Usisahau niliyokutuma, usivunjike moyo pale ulipojikwaa, sawa eeAmina kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau niliyokutuma, usivunjike moyo pale ulipojikwaa, sawa eeAmina kubwa
Siwekagi password kwenye simu zangu zote ,hii ni kwaajil ya watoto na family.Ndugu mleta mada turudi kwanza pale Rau madukani...wakati huyo shababi ananyakua simu mkononi mwako aliwezaje kutoa pattern au lock ya simu yako kisha aweke namba ajibeep?
Au simu ilijitoa pattern yenyewe baada ya kujua imeingia kwenye mikono ya shababi?
Hakunyakua hapo...Imetumika lugha ya picha hiyo simu aliombwa na akatoa Pattern mwenyewe akampa..Ndugu mleta mada turudi kwanza pale Rau madukani...wakati huyo shababi ananyakua simu mkononi mwako aliwezaje kutoa pattern au lock ya simu yako kisha aweke namba ajibeep?
Au simu ilijitoa pattern yenyewe baada ya kujua imeingia kwenye mikono ya shababi?
Nimekupata vizuri sana 😍😍Usisahau niliyokutuma, usivunjike moyo pale ulipojikwaa, sawa ee
Wewe umenisoma leo?Mbona huu mwandiko ni wa Kiume kabisa.
Sema humu jamiiforum watu washajua wakiweka maada za Mapenzi Wanapata reply Nyingi kwaiy mtu anatafuta chochote Ili Mradi afurahishe wasomaji. Mfano kujibadilia jinsia kama huyu mwanaume kuingiza Kuwa mwanamke Ili mradi apate attention ya watu na kuwapelekea Uoga kwa Vijana Ili waogope.
But all in all hii ni chai kutoka kwa Mwanaume.
Kama ni kweli basi wewe n Malaya na upo sokoni una promote kile unacho kiuza.
Niko paleeeNimekupata vizuri sana 😍😍
M siyo shostWewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
😂😂😂😂 NtakuchapaNyang'au limefika😂😂
Aisee.Kuna wakati wapinga ndoa akina dronedrake mi nawaelewa. Ndoa za siku hizi hazina maana. Imagine huyu ndo mke wako dah! 🚮🚮
Wachambe shosti usiwaogope watakuzoea 😂😂😂Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
haijalishi.Single mom ama.
Kiboko ninacho mimi😂😂😂😂😂 Ntakuchapa
Mfyuuu!! Nakusemea kwa dada Joh 😂😂😂Kiboko ninacho mimi😂
Tuna kikao leo kule??Nimekupata vizuri sana 😍😍
wanaokaa mabatini maskiniiii....M siyo shost
Tuanzie hapa kwanza Unauza shingapi? Nipo hapa Mwanza maeneo ya mabatini nipe location nikufuate.
Haina noma utanishtua wanguTuna kikao leo kule??
Mtawaua wakaka wa jf 😂😂😂wanaokaa mabatini maskiniiii....