Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Ndugu mleta mada turudi kwanza pale Rau madukani...wakati huyo shababi ananyakua simu mkononi mwako aliwezaje kutoa pattern au lock ya simu yako kisha aweke namba ajibeep?
Au simu ilijitoa pattern yenyewe baada ya kujua imeingia kwenye mikono ya shababi?
Siwekagi password kwenye simu zangu zote ,hii ni kwaajil ya watoto na family.
 
Ndugu mleta mada turudi kwanza pale Rau madukani...wakati huyo shababi ananyakua simu mkononi mwako aliwezaje kutoa pattern au lock ya simu yako kisha aweke namba ajibeep?
Au simu ilijitoa pattern yenyewe baada ya kujua imeingia kwenye mikono ya shababi?
Hakunyakua hapo...Imetumika lugha ya picha hiyo simu aliombwa na akatoa Pattern mwenyewe akampa..

Kiufupi yeye ndo alimwelewa mshikaji na mshikaji baada ya kuona Demu kamuelewa na yeye akaanza mbwembwe si unajua wanaume tulivyo
 
Mbona huu mwandiko ni wa Kiume kabisa.

Sema humu jamiiforum watu washajua wakiweka maada za Mapenzi Wanapata reply Nyingi kwaiy mtu anatafuta chochote Ili Mradi afurahishe wasomaji. Mfano kujibadilia jinsia kama huyu mwanaume kuingiza Kuwa mwanamke Ili mradi apate attention ya watu na kuwapelekea Uoga kwa Vijana Ili waogope.

But all in all hii ni chai kutoka kwa Mwanaume.
Kama ni kweli basi wewe n Malaya na upo sokoni una promote kile unacho kiuza.
Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
 
Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
M siyo shost
Tuanzie hapa kwanza Unauza shingapi? Nipo hapa Mwanza maeneo ya mabatini nipe location nikufuate.
 
Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
Wachambe shosti usiwaogope watakuzoea 😂😂😂
 
Tunakumbushwa ombeni msiingie kwenye vishawishi...

Unajua tamaa ya mwili ipo ila unaweza ikana, ikinai, ikataa na kuichukia kabisa kwa msaada wa Mungu na akili yako na pepo la ngono likakoma and ofcourse it's a mind set game, it start with your brain [emoji3447] to overcome
 
Back
Top Bottom