Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Siwekagi password kwenye simu zangu zote ,hii ni kwaajil ya watoto na family.
 
Hakunyakua hapo...Imetumika lugha ya picha hiyo simu aliombwa na akatoa Pattern mwenyewe akampa..

Kiufupi yeye ndo alimwelewa mshikaji na mshikaji baada ya kuona Demu kamuelewa na yeye akaanza mbwembwe si unajua wanaume tulivyo
 
Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
 
Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
M siyo shost
Tuanzie hapa kwanza Unauza shingapi? Nipo hapa Mwanza maeneo ya mabatini nipe location nikufuate.
 
Wewe umenisoma leo?
Tuliza kalio pitia nyuzi zangu
Halafu we darasa la Saba na utaalamu wa mwandiko wapi na wapi?🤣🤣
Wajidai mtaalamu kumbe hata shule hukwenda,punguza shobo shosti👌
Wachambe shosti usiwaogope watakuzoea 😂😂😂
 
Tunakumbushwa ombeni msiingie kwenye vishawishi...

Unajua tamaa ya mwili ipo ila unaweza ikana, ikinai, ikataa na kuichukia kabisa kwa msaada wa Mungu na akili yako na pepo la ngono likakoma and ofcourse it's a mind set game, it start with your brain [emoji3447] to overcome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…