Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Watakatifu wa watakatifu,[emoji23][emoji23] acheni tuipe kitu roho inapenda

Utakatifu haujii tu lazima upite kwenye kaa la moto, hata gold inapita kwanza kwenye moto, tumeshajifunza life ukiona nyani mzee juwa kashakwepa sana mishale mingi... Muda ni mwalimu eti ila tu msicheze bila akili maana mbele majuto ni mengi sana,

Toeni upwiru ila mjue kama ni usaliti ni lazima una payback
 
Utakatifu haujii tu lazima upite kwenye kaa la moto, hata gold inapita kwanza kwenye moto, tumeshajifunza life ukiona nyani mzee juwa kashakwepa sana mishale mingi... Muda ni mwalimu eti ila tu msicheze bila akili maana mbele majuto ni mengi sana,

Toeni upwiru ila mjue kama ni usaliti ni lazima una payback
Sasa kumbe ulijifunza baada ya kukosea, acha na wengine wajifunze mbona masumbuko ni mengi? Hivi kwamba akiamua kuliwa au kutoliwa we utajua?je Inakuhusu? Mnaumia na nini hasa?
 
Utakatifu haujii tu lazima upite kwenye kaa la moto, hata gold inapita kwanza kwenye moto, tumeshajifunza life ukiona nyani mzee juwa kashakwepa sana mishale mingi... Muda ni mwalimu eti ila tu msicheze bila akili maana mbele majuto ni mengi sana,

Toeni upwiru ila mjue kama ni usaliti ni lazima una payback
🤣🤣Mbona unahubiri Sana?
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijal, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua cmu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambia, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Aisee fika kwa jamaa
 
Sasa kumbe ulijifunza baada ya kukosea, acha na wengine wajifunze mbona masumbuko ni mengi? Hivi kwamba akiamua kuliwa au kutoliwa we utajua?je Inakuhusu? Mnaumia na nini hasa?
Kwani padri au shehe akikulilia utubu dhambi zako wewe huwa unahisi nini au inamuhusu nini haya ndiyo maswali yako au inamfaidisha nini wakati mwili ni wako ndiyo maswali ya mwanampotevu fanya yaliyo mema na mema yatakuakisi

Kujifunza sio lazima iwe wewe na nafsi yako jamii iliyokuzunguka pia ni darasa, wewe inakuuma nini pia tukimshauri Ironbutterfly yaliyo mema makasiriko ya nini kama una upwiru hakuna aliekushika mkono mkagawe tu ni lifestyle yenu
 
"Aka chukua simu yangu, akajibipu" Sasa, hiyo simu yako, alijibupuje wakati, kawaida simu zinakuwa na password? Zipo, locked? Sema, umeombwa namba, ukatoa fasta, sio "ohh sitoi namba kwa, strangers!!
Mmekutana wote walugaluga! Kipindi hicho nipo bado kijana, 1999,binti kama nyinyi mnaokubali fasta fasta, tulikuwa tunawaita, chupi mkononi!!
Wapo tayari kwa gemu muda wowote!
 
Kwani padri au shehe akikulilia utubu dhambi zako wewe huwa unahisi nini au inamuhusu nini haya ndiyo maswali yako au inamfaidisha nini wakati mwili ni wako ndiyo maswali ya mwanampotevu fanya yaliyo mema na mema yatakuakisi

Kujifunza sio lazima iwe wewe na nafsi yako jamii iliyokuzunguka pia ni darasa, wewe inakuuma nini pia tukimshauri Ironbutterfly yaliyo mema makasiriko ya nini kama una upwiru hakuna aliekushika mkono mkagawe tu ni lifestyle yenu
yaliyo mema makasiriko ya nini kama una upwiru hakuna aliekushika mkono mkagawe tu ni lifestyle yenu
👆
Hapo sasa umesema baba paroko,
 
[emoji1787][emoji1787]Mbona unahubiri Sana?

Jamiii yoyote ukimkosa mtu kama mimi hiyo jamii haijakamilika, hatuwezi kuhubiri ushetani tu yapo mema ya yanayompendeza Mungu, halafu hatuwezi kuwa na mitazamo inayofanana kwenye jamii huku hulka hutofautiana, malezi pia, elimu, uzoefu, tamaduni na imani zetu yote haya yanaifanya jamii kuwa ya tofauti kimitazamo, kazi ni moja tu mwili ni wako upwiru ni wako akili ni yako fanya hayo yote ukichanganganya na akili za kuambiwa jipe nafasi kufurahia maisha
 
Ngoja tusubiri. Mi nishawahi ona wanawake ambao waume zao wako mbali, na hawatawaliwi na genye, mume anarudi wanafanya Yao, then anaendelea na shughuli zake za kusafiri..

Wewe unajuaje kwamba hawatawaliwi na nyege? Au unadhani usipomwona mtu akifanya uhuni ndio inamaanisha hafanyi? Halooo una safari ndefu sana wewe.
Wewe unadhani hata mtoa mada kwenye maisha halisi hamna watu wanaomwona hatawaliwi na nyege?
 
Wewe unajuaje kwamba hawatawaliwi na nyege? Au unadhani usipomwona mtu akifanya uhuni ndio inamaanisha hafanyi? Halooo una safari ndefu sana wewe.
Wewe unadhani hata mtoa mada kwenye maisha halisi hamna watu wanaomwona hatawaliwi na nyege?
😂😂😂 Nyege mtawalia, hatutakiwi kupenda wala kuonyesha mapenzi akyaakyaakyaaaa
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijal, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua cmu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambia, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Mwenye mke wake uje umchukue huku, anatugombanisha ma-bachelor!
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya[emoji108].

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijal, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua cmu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambia, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.[emoji1787]

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?

Wewe ni LGBTQRS kwahyo usituchoshe
 
Wewe unajuaje kwamba hawatawaliwi na nyege? Au unadhani usipomwona mtu akifanya uhuni ndio inamaanisha hafanyi? Halooo una safari ndefu sana wewe.
Wewe unadhani hata mtoa mada kwenye maisha halisi hamna watu wanaomwona hatawaliwi na nyege?
Sawa. Wema unaitwa uovu na uovu unaitwa wema. Nyege zinaanza kwenye ubongo, kama mtu hawazi mambo hayo hawezi kuwa na nyege. Sex starts in the mind.
 
Back
Top Bottom