Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
We sema kama huna uhakika kuwa mtoa mada ni Me ama Ke usaidiwe.But all in all hii ni chai kutoka kwa Mwanaume.
Kama ni kweli basi wewe n Malaya na upo sokoni una promote kile unacho kiuza.
Mazungumzo:
Mkaka Shababi: we sista njoo
Chuma Kipepeo: haya
Mkaka Shababi: waitwa nani
Chuma Kipepeo: siongeagi na waume za watu
Mkaka Shababi: mimi bachela
Chuma Kipepeo: mimi siko singo
Mkaka Shababi: waenda wapi
Chuma Kipepeo: kuchukua mtoto shule
Mkaka Shababi: ok, nipe namba yako
Chuma Kipepeo: sitoi namba kwa stranger
Mkaka Shababi anachukua simu ya Chuma Kipepeo anaingiza namba zake na kujibipu,
Mkaka Shababi: baada ya lisaa nitakucheki mchumba
Kipepeo Chuma: hehehehe haya
Hata wale wa Uwanja wa Fisi wanaringa ringa kidogo [emoji849]
Ukimalizana nae huyo wa Bwiru uje na Igoma hapa....Mimi utanikuta bar na ni mu handsome pia
Ukimalizana naye nipasie na mimi mkuu. Niko hapa Kiseke
nasubiri coment za wale wanaosema uhandsome ni pesa au kujituma
na inawezekana mumewe akawa ana hela za kutosha ila sio handsomeSasa kisa handsome ndo akugonge,
Huoni unamvunjia heshima mume wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora sheria mkononi ila sio ya kuunguza kisimi. Zaidi ya hayo, hakuna mbinu nyingine mnafanya?
yaani humu leo kila mtu kageuka mshauri..dah...unafiki ni jadi ya MtzMnakuwaga washauri wazuri mada aina hii ikiletwa na ke ila ingekuwa me😂😂😂
Nimekuelewa, ngoja nizidi kuwa mwaminifu maana nilikuwa nishakata Tama. Nikadhani wanawake wote mko hivi.Kama unaamini mume wako hakucheat hata kuunguza kisimi sio shida cha msingi tu usigawe utamu.
Ila unakuta mtu kila mara analoweka loweka halafu mimi nipate nyege nivumilie? Ndio nionekane wife materiel [emoji23][emoji23]ndio nionekana najiheshimu? Kujiheshimu ni pamoja na kuheshimu hisia zako. Nitembee njiani nacheka cheka kama mwehu kisa nyege zimenizidia na wakati kuna mkaka handsome nimemwelewa?
Ukitaka mwanamke wako awe mwaminifu kwako hakikisha na wewe ni mwaminifu. Na kama sio mwaminifu hakikisha hagundui kwamba wewe si mwaminifu. Akishakugundua unamsaliti umekwisha.
Wewe ndio unampambania, muda huu huyo yuko ukweni upareni anatambulishwa kule[emoji23]
Analiwa na waume wa watu mkuu usimlaumu😂😂
hadi maji yatoke ..la sivyo hataelewaUmekamia Shostii.....kemea upwiru huo🤣🤣🤣
Ooops nimesahau upwiru hautoki kwa maombi, hapo hadi ukunwe ndo akili zitarudi🤣🤣
Wapuuzi tuyaani humu leo kila mtu kageuka mshauri..dah...unafiki ni jadi ya Mtz
leoooo😀😀View attachment 2788110
Sidhani kama huyu baharia kaoa huyu. Anyway hata kama ni mume wa mtu kwa wasifu wake huu wa kimwonekano na alivyomdaka kirahisi huyu mke wa mwanaume mwenzetu, unafikiri atakuwa ana pisi ngapi?
Kwangu mimi ishu wala siyo kuchapiwa maana najua hiyo ni guaranteed. Hofu yangu kubwa ipo kwenye kuletewa magonjwa hasa ukizingatia kuwa wanawake system yao iko open na kwao kupata haya magonjwa ya zinaa ni rahisi sana. Nimejinyima na kujitunza huko nikikwepa mishale ya UKIMWI tangu ujanani huko halafu yeye ndiyo aje aniletee kiboya kisa tu eti kakutana na baharia handsome? Aisee gunia la mkaa litamhusu tu maana hakuna namna 😬😬😬🚮
anaenda kuosha macho..lolUnawaaga unaenda wapi?
Kukazwa na uume uliovalishwa ndomu ni sawa na kujichua tu.
Mbaya zaidi hakukuondelei dhambi ya kuzini, so ukiamua kutenda dhambi ya kuzini kazwa peku peku tu ili upate raha kamili na joto la vimiminika, then uende jehanamu kwa haki.