Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Kambotwe wewe ...na ulipie tangazo lako hapa.... Mke watu Malaya malaya....ungeweka na namba kabisa watu wakubanjue.....
 
Kambotwe wewe ...na ulipoe tangazo lako hapa.... Mke watu Malaya malaya
6. HUENDA ANACHANGAMSHA JUKWAA NA WEEKEND IISHE VYEMA
Mwisho WA siku wanazikimbiaga akaunti zao Kwa ujinga wao....
 
Am sure hata Hilo ghorofa halipo,fuatilia comment zake anapenda sana kujisema unajua sie matajiri this,matajiri that....kimsingi ukisikia hivyo hamna kitu hapo
Naona haujaelewa, usichukulie maneno kama yalivyo.
 
Aah dogo kung'ang'ania ulipoachwa ni kujitakia kisukari na pressure...Niko zangu Pwezapweza naupa pole moyo wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dada mbona hujanishtua twende wote?
Kabisa kweli epuka visukari mwaya, kwanza bado unalipa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Na akijirudisha hamna kumkubali ateseke akufwee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂Tushamaliza kula mbuzii Sasa tunaelekea hotel
 

Attachments

  • IMG_20231021_111832_896.jpg
    1.2 MB · Views: 5
Dada mbona hujanishtua twende wote?
Kabisa kweli epuka visukari mwaya, kwanza bado unalipa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Na akijirudisha hamna kumkubali ateseke akufwee [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua upo na mheshimiwa!maana nyie waheshimiwa weekend kama hizi mtakuwa mbugani,nikaona nikanywe zangu Pearl Bay moyo upoze machungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…