Huyu hana ndoa mkuu, I can bet wallet yote huko crdbπ€£π€£financial services Tukiwaambia nyie hamna mdhamana muwe mnaelewa. Huyo mwenzio bila aibu kachagua kunyengwa bila uoga. Ana sneak out chap akirudi mkoani kwa mumewe atajikausha kau kau.
Najiamini kwa ajili yako najua utanisaidia shoga angu [emoji38][emoji38]Wewe utapigwa shogaangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna ni black flan liuzaj madini kumbeπ€£π€£
πππ umeanza sisy, waheshimiwa kutoka wapi?Nilijua upo na mheshimiwa!maana nyie waheshimiwa weekend kama hizi mtakuwa mbugani,nikaona nikanywe zangu Pearl Bay moyo upoze machungu
Kabisa namuona anakazia πππHivyo ndio vitu anapenda mamy k[emoji23]
π€£π€£π€£ Boss njaa hana pesa yoyote, mbwembwe tyuuu!!Si umesema unajiandaa kwenda mlimani city?[emoji23]
Na jua lote hili kaliπππ umeanza sisy, waheshimiwa kutoka wapi?
Tupo hapa tunacheza kidali po
πππ Embu niwacheeeee kwanzaMm sio mheshimiwa, ni kapuku tu nasukuma siku kwa kubet
Leo lamomy ana appointment mlimani city, yupo busy kweli
So mlimani city hamjaenda.πππ Embu niwacheeeee kwanza
Kujikoki kote kule nishaandaa na drip afu boss michosho
Eee eti mwaya sisy Joannah kaachika π₯π₯π₯Ni couple hiyo?
Acha tu yani mateso bila chuki kudadadeqπSalam mbali tunashikwa mikono tu, hii mada imewaumiza sana tatizo mnaisoma huku mkiwafikiria wake zenu,
Ss hivi na bodyguard ninaye we tapika π€£π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈNajiamini kwa ajili yako najua utanisaidia shoga angu [emoji38][emoji38]
Mimi pia naishi kwa kubeti tu sema Mungu anasaidia π€£ Sportpesa oyeeYaani Kwa kauli hii ndio inaonyesha shemeji unazo,maana wenye pesa ndio misemo yenu hii,,,maskini ndio utawasikia walisema sisi matajiri ππ
Hivi kaenda na yeye kwenye appointment?
ππππ Nimecheka mchuchuNa jua lote hili kali
Upo wap mumy minna mpng na ww hiyo timeToka hata usiku wa manane