Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Halafu we Mpambe sana unatamani sana ex wangu aone🤣🤣🤣🤣ila usisahau nimeondoka mwili tu kule moyo kabaki nao ohooooo
Km unasonga mbele songa!!
Acha kugeuka nyuma km mke wa Ruthu utageuka jiwe la chumvi!! Oooh! Usije kusema sijakwambia 😂😂😂
 
Nataka kujua kama mwanaume amekuwa handsome hadi kwenye mgegedo au vipi.

Maana wanasema mahendsome kitandani wanakuwaga wachovu tofauti na sura kazi.
Usiwasikilize hao, usiniambie hujawahi kukandwa na handsome wawili watatu mpaka usikie wanasema? Huyo bado hajarudi humu kalala hoi fofofo, utakuwa umeshapata jibu.
 
hakuna mwanamke anaweza kujiexpress namna hii Tanzania. si ukute wewe lijamaa ni liupinde. shindwa shetani nyie.
 
Nataka kujua kama mwanaume amekuwa handsome hadi kwenye mgegedo au vipi.

Maana wanasema mahendsome kitandani wanakuwaga wachovu tofauti na sura kazi.
Maneno tu hayo mnakosa mengi
 
🤣🤣 wanaume wa jf mnashangaza👌
Kuna watu wananifata hadi pm kunitusi kisa hii thread lol
Mlidhani mie bikira Maria au?
Nishapenda Mimi,hivyo yaani🤣
Mama ukitaka kufanya jambo haswa linalohusu kufanya mapenzi na mwanaume ambaye sio mume wako usiwaambie wanaume, tutakutukana tuu na kukuita malaya, kwasababu tuna wivu.
Tunataka hizo bahati zije kwetu na sio mtu mwingine.

We ulitaka tusemaje? "Nenda mama mkatiane inaonekana mnapendana" hapana hatuwez ku-support hio issue, labda shoga ndo anaweza kuku-support hivo.

Mwanaume mzima anaweza akaku support, ila kinafiki moyoni inamuuma na anakuona malaya.
Na katika hayo matusi uliyotukanwa leo kuna kitu cha kujifunza, wanaume hatupendi wanawake cheap, unavozidi kuwa mgumu kupatikana ndio thamani yako inavo ongezeka kwetu na ndivo jinsi unavozidi kutuchanganya.
Kwaio hata kama umempenda huyo jamaa, hakikisha unamzungusha kabla hujampa kipochi manyoya hicho, au nayeye atakuona kama malaya wengine aliowaomba namba siku hiohio aliyokuomba ww na akawagonga kesho yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Embu niwacheeeee kwanza
Kujikoki kote kule nishaandaa na drip afu boss michosho
Nilivyoona jana usiku anaanza kutukana Mara asema nijenge, nikajua tu hakuna mtu hapo[emoji23]
 
Tushamaliza vya mchana🤣🤣
Tunajiandaa kwenda malaika👌
 

Attachments

  • IMG_20231017_195810_306.jpg
    547.5 KB · Views: 5
[emoji23][emoji23][emoji23] Hana pesa kibaka tu huyo ananichomolea vichenchi vyangu anaenda kubetia
Mikeka yote chaliii, sijui itakuaje. Siku imeshakua ndefu hii

Ni bora niwe winga kuliko hii kazi ya kubet[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…