Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Nimekuelewa, ngoja nizidi kuwa mwaminifu maana nilikuwa nishakata Tama. Nikadhani wanawake wote mko hivi.

Kama uaminifu kwako ni furaha na sio mzigo kuwa mwaminifu.
Usiwe mwaminifu kwa sababu ya mtu iwe mkeo/mmeo. Utakuja kujiua au kudhurika kijinga.

Kwa Mwanamke usilete ulokole na usabato, fanya mambo yako. Fanya kile kinachokupa furaha.

Usifanye jambo ati ili mkeo sijui asicheat, huko ni kujitesa na kuwa mtumwa.
Yeye kama ni ku-cheat muache a-cheat ukimkuta mnamwagana.

Unatakiwa ufikie hatua ambayo huogopi usaliti kwa yeyote. Huo ndio ukomavu.
Na yeyote atakayeleta usaliti unamuweka pembeni
 
Kama uaminifu kwako ni furaha na sio mzigo kuwa mwaminifu.
Usiwe mwaminifu kwa sababu ya mtu iwe mkeo/mmeo. Utakuja kujiua au kudhurika kijinga.

Kwa Mwanamke usilete ulokole na usabato, fanya mambo yako. Fanya kile kinachokupa furaha.

Usifanye jambo ati ili mkeo sijui asicheat, huko ni kujitesa na kuwa mtumwa.
Yeye kama ni ku-cheat muache a-cheat ukimkuta mnamwagana.

Unatakiwa ufikie hatua ambayo huogopi usaliti kwa yeyote. Huo ndio ukomavu.
Na yeyote atakayeleta usaliti unamuweka pembeni
Nitaishi humu.
 
Wala ni kweli
Jamaa tulisoma wote chuo kikuu
Mie nikaajiriwa serikalini ye hakubahatika
Nikampa idea ya kufungua kampuni ya aliyosomea,tulisoma course moja,nikawa Nampa michongo ya kazi,hadi kampuni ikasimama,na alivoanza pata visent ndo mizozo na kucheat vikaanza,so hanistui.
Hivi uko serious kabisa Iron? Mna shida , hata kama umemsaidia unamsaidia bado ni mume wako na atakiwa kuheshimiwa, usijifanyie mambo yako sababu tu umemzidi vitu fulani, pia ulikubali mwenyewe kuolewa naye
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke.

Jamani kila siku wanaume wanafungua nyuzi za kula warembo, sioni kosa la huyu kwani najua kila mtu humu analiwa na kula...kila mtu muongo humu
Hamna mkamilifu yes wote tuna mapungufu ,but tujitahidi kujicontrol ukicheki wala hajutii anachokifanya ni kama anaona ni kitu kizuri anasimulia
 
Kama uaminifu kwako ni furaha na sio mzigo kuwa mwaminifu.
Usiwe mwaminifu kwa sababu ya mtu iwe mkeo/mmeo. Utakuja kujiua au kudhurika kijinga.

Kwa Mwanamke usilete ulokole na usabato, fanya mambo yako. Fanya kile kinachokupa furaha.

Usifanye jambo ati ili mkeo sijui asicheat, huko ni kujitesa na kuwa mtumwa.
Yeye kama ni ku-cheat muache a-cheat ukimkuta mnamwagana.

Unatakiwa ufikie hatua ambayo huogopi usaliti kwa yeyote. Huo ndio ukomavu.
Na yeyote atakayeleta usaliti unamuweka pembeni
The Best Of All Time mungozo mzima huu hapa.... ishi hapo
 
Back
Top Bottom