Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ndio mida ya kimkakati. Hata kama una mwenza hawezi sanuka.Hii mida uliyoitaja hapa ni ya kimkakati?
Wangu yupo vizuri,am sorry!🤣🤣🤣Dada jf hakuna mwanaume mwenye pesa tupo na vibaka wenzetu 😂😂😂
Nimekuelewa, ngoja nizidi kuwa mwaminifu maana nilikuwa nishakata Tama. Nikadhani wanawake wote mko hivi.
Ndiyo mume wako huyo unamuita bwege? Usitupe mbachao kwa msala upitao [emoji41]
Nitaishi humu.Kama uaminifu kwako ni furaha na sio mzigo kuwa mwaminifu.
Usiwe mwaminifu kwa sababu ya mtu iwe mkeo/mmeo. Utakuja kujiua au kudhurika kijinga.
Kwa Mwanamke usilete ulokole na usabato, fanya mambo yako. Fanya kile kinachokupa furaha.
Usifanye jambo ati ili mkeo sijui asicheat, huko ni kujitesa na kuwa mtumwa.
Yeye kama ni ku-cheat muache a-cheat ukimkuta mnamwagana.
Unatakiwa ufikie hatua ambayo huogopi usaliti kwa yeyote. Huo ndio ukomavu.
Na yeyote atakayeleta usaliti unamuweka pembeni
Yaani ametushushia credit kabisa wadada, ila yeye tu siyo wote banafinancial services Tukiwaambia nyie hamna mdhamana muwe mnaelewa. Huyo mwenzio bila aibu kachagua kunyengwa bila uoga. Ana sneak out chap akirudi mkoani kwa mumewe atajikausha kau kau.
Hivi uko serious kabisa Iron? Mna shida , hata kama umemsaidia unamsaidia bado ni mume wako na atakiwa kuheshimiwa, usijifanyie mambo yako sababu tu umemzidi vitu fulani, pia ulikubali mwenyewe kuolewa nayeWala ni kweli
Jamaa tulisoma wote chuo kikuu
Mie nikaajiriwa serikalini ye hakubahatika
Nikampa idea ya kufungua kampuni ya aliyosomea,tulisoma course moja,nikawa Nampa michongo ya kazi,hadi kampuni ikasimama,na alivoanza pata visent ndo mizozo na kucheat vikaanza,so hanistui.
Baba mkwe kampa ndoo akachote maji hana pakutokeaVipi mrejesho???
Mwenzio alishasema kaenda hotel kukandwa we wataka mrejesho wa nini, size ya mjegejo au nguvu za kiume.Vipi mrejesho???
Hamna mkamilifu yes wote tuna mapungufu ,but tujitahidi kujicontrol ukicheki wala hajutii anachokifanya ni kama anaona ni kitu kizuri anasimuliaAdui wa mwanamke ni mwanamke.
Jamani kila siku wanaume wanafungua nyuzi za kula warembo, sioni kosa la huyu kwani najua kila mtu humu analiwa na kula...kila mtu muongo humu
Naona hamjagundua kitu.Hamna mkamilifu yes wote tuna mapungufu ,but tujitahidi kujicontrol ukicheki wala hajutii anachokifanya ni kama anaona ni kitu kizuri anasimulia
Acha apelekewe moto labda anataka azimue mshindo kwa kijana handsomeKashaanza kumiminiwa uji wa moto toka saa 8 maana ndio mida ya uasherati wa kijangili hapo hadi saa 11 anatolewa na kurudishwa mitaa ya ukweni [emoji1787]
Yupi yule dia ex au mwingine? 😂😂😂Wangu yupo vizuri,am sorry!🤣🤣🤣
The Best Of All Time mungozo mzima huu hapa.... ishi hapoKama uaminifu kwako ni furaha na sio mzigo kuwa mwaminifu.
Usiwe mwaminifu kwa sababu ya mtu iwe mkeo/mmeo. Utakuja kujiua au kudhurika kijinga.
Kwa Mwanamke usilete ulokole na usabato, fanya mambo yako. Fanya kile kinachokupa furaha.
Usifanye jambo ati ili mkeo sijui asicheat, huko ni kujitesa na kuwa mtumwa.
Yeye kama ni ku-cheat muache a-cheat ukimkuta mnamwagana.
Unatakiwa ufikie hatua ambayo huogopi usaliti kwa yeyote. Huo ndio ukomavu.
Na yeyote atakayeleta usaliti unamuweka pembeni
Unajielewa sana shida huo ushauri kaziba masikio kashakuambia ana upwiru [emoji23]Hivi uko serious kabisa Iron? Mna shida , hata kama umemsaidia unamsaidia bado ni mume wako na atakiwa kuheshimiwa, usijifanyie mambo yako sababu tu umemzidi vitu fulani, pia ulikubali mwenyewe kuolewa naye
Huyo huyo!Kwanza anayemiliki EX wangu nani Sasa?mbona sielewi 🤣🤣🤣Yupi yule dia ex au mwingine? 😂😂😂