Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Hahaa kumbe ndiyo tabia zenu wazee eeh
Mbona sijasema?
Ukweli ni kwamba humu watu wanajifanya watakatifu lakini wanaliwa kuliko kawaida, tena wanajifanya wasiri lakini kumbe amewapanga hadi wanaume 5 😂😂

Mimi napenda Ironbutterfly alivyo mkweli.

Msema kweli ni rahisi kutubu na kwenda mbinguni....ukweli mchungu
 
Mbona sijasema?
Ukweli ni kwamba humu watu wanajifanya watakatifu lakini wanaliwa kuliko kawaida, tena wanajifanya wasiri lakini kumbe amewapanga hadi wanaume 5 😂😂

Mimi napenda Ironbutterfly alivyo mkweli.

Msema kweli ni rahisi kutubu na kwenda mbinguni....ukweli mchungu
Sawa ila kuna kusema ukweli kwa kujutia ulichokifanya na kuna kusema kwa kuona ni sifa na nikitu kizuri ulichofanya, so kama huo ndiyo ukweli wa kwenda mbinguni sawa
 
Habari za asubuh Wana ukumbi

Mweh mweh mweh Nimeingia Mwanza juzi kikazi Nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri bwiru hapo kwa matajiri(kwa wakwe zangu)

Nikaishia atm nitoe kasalio afu nipande boda nimfate shule twende home,wakati naifata atm nikapita Sehemu jirani na mama ntilie mmoja,nikapiga jicho,nikamwona kijana shababi anakula ugali mbogamboga,aliponiona,akaniita we sista njoo,nikamwambia eeh akanambia njoo,nikasema haya👌

Nikaenda akanambia waitwa nani? nikamjibu siongeagi na waume za watu,akanambia mi bachelor,nikamjibu ok ila mie siko singo,akasema usijal,waenda wapi?nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani ndo nimedondoka nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako,nikamwambia sitoi no kwa strangers,akachukua cmu yangu akajibip,akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba,lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu,nikamfikisha home,nafika tu nasalimiana na baba mkwe,jamaa anapiga,nikaomba udhuru nikatoka nje,then nikapokea cmu yake,akanambia ushampokea mtoto,nikamjibu Yap na Niko home,akanambia kamilisha ratiba afu unambia,akakata cmu.

Sikumtafuta manake Niko ukweni kapigaa weeh sijapokea Ila nimemwelewa,kumbe Kuna wasuk.uma mahandsome lol🤣

Sema kutoka kipengele manake Niko ukweni,natamani kukipambazuka nitunge Safari nionane naye,anaonekana mtamu kwa bed

Au nitakuwa nazingua Wana ukumbi?

Jikaze Utaharibu sasa!

Hata kama unamtaka sio kirahisi hivyo usijiweke ki weak hivyo...
Maana kabisa unasema kesho naenda kutana naye wakati huo huo ulimwambia wwe ni mke wa mtu na una watoto plz stop it utajiabisha!

Wasukuma wana Tabia ya kupima Mtu kumwangalia kama ana misimamo au lah! Huenda ana connection na Ukweni kwako na anakupima Jiangalie usije ukatie kitumbua mchanga....

Ushauri Wangu:

Usimsaliti Mumeo Chukulia Picha ana kutana na Pisi Kali wangapi ila anakaza kiume..
Muoneshe unamjali na kumthamini hata pale asipokuona na huo ndo huitwa upendo wa kweli !
kingine Wewe Ni Mwanamke Mwenye watoto Pia, kuwa na kiasi ,Tuliza Moyo wako na kingine hakuna mwanaume ambaye haoni wasichana wazuri wenye. Maumbo mazuri lakini muda wote tunajishikilia!
 
Sawa ila kuna kusema ukweli kwa kujutia ulichokifanya na kuna kusema kwa kuona ni sifa na nikitu kizuri ulichofanya, so kama huo ndiyo ukweli wa kwenda mbinguni sawa
Adui wa mwanamke ni mwanamke.

Jamani kila siku wanaume wanafungua nyuzi za kula warembo, sioni kosa la huyu kwani najua kila mtu humu analiwa na kula...kila mtu muongo humu
 
Glenn muone mzee mwenzio huku , iron muongo sana wewe na hata hucheat unatuchora tu hapa tunavyotoa povu
Wala ni kweli
Jamaa tulisoma wote chuo kikuu
Mie nikaajiriwa serikalini ye hakubahatika
Nikampa idea ya kufungua kampuni ya aliyosomea,tulisoma course moja,nikawa Nampa michongo ya kazi,hadi kampuni ikasimama,na alivoanza pata visent ndo mizozo na kucheat vikaanza,so hanistui.
 
Habari za asubuh Wana ukumbi

Mweh mweh mweh Nimeingia Mwanza juzi kikazi Nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri bwiru hapo kwa matajiri(kwa wakwe zangu)

Nikaishia atm nitoe kasalio afu nipande boda nimfate shule twende home,wakati naifata atm nikapita Sehemu jirani na mama ntilie mmoja,nikapiga jicho,nikamwona kijana shababi anakula ugali mbogamboga,aliponiona,akaniita we sista njoo,nikamwambia eeh akanambia njoo,nikasema haya👌

Nikaenda akanambia waitwa nani? nikamjibu siongeagi na waume za watu,akanambia mi bachelor,nikamjibu ok ila mie siko singo,akasema usijal,waenda wapi?nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani ndo nimedondoka nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako,nikamwambia sitoi no kwa strangers,akachukua cmu yangu akajibip,akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba,lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu,nikamfikisha home,nafika tu nasalimiana na baba mkwe,jamaa anapiga,nikaomba udhuru nikatoka nje,then nikapokea cmu yake,akanambia ushampokea mtoto,nikamjibu Yap na Niko home,akanambia kamilisha ratiba afu unambia,akakata cmu.

Sikumtafuta manake Niko ukweni kapigaa weeh sijapokea Ila nimemwelewa,kumbe Kuna wasuk.uma mahandsome lol🤣

Sema kutoka kipengele manake Niko ukweni,natamani kukipambazuka nitunge Safari nionane naye,anaonekana mtamu kwa bed

Au nitakuwa nazingua Wana ukumbi?
Kwa maelezo yako siyo kwamba huyo kijana ni handsome Sana ilaa wewe ndiye una suraa mbovuu unaonekana ww ni cheap saana mtu akitaka anajipigia tuu
 
Back
Top Bottom