Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Mwanamke siyo kiumbe wa kumwamini kabisa 🤕
 
Hahahhaha.
Labda kwenu nyie wanaume. Sisi uwaze usiwaze nyege zinakuja hadi kisimi kina vibrate kinasimama dede utelezi unatoka chupi inalowa chepe chepe unabana mapaja lakini wapi. Hivi unajua mayai tukipevusha huwa tunakuwa na hali gani? Lile yai linataka kurutubishwa kwahiyo zinazalishwa vichochea mwili vya kutosha vya kukushawishi upate dudu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ahh jamani
 
Mazungumzo:
Mkaka Shababi: we sista njoo
Chuma Kipepeo: haya
Mkaka Shababi: waitwa nani
Chuma Kipepeo: siongeagi na waume za watu
Mkaka Shababi: mimi bachela
Chuma Kipepeo: mimi siko singo
Mkaka Shababi: waenda wapi
Chuma Kipepeo: kuchukua mtoto shule
Mkaka Shababi: ok, nipe namba yako
Chuma Kipepeo: sitoi namba kwa stranger
Mkaka Shababi anachukua simu ya Chuma Kipepeo anaingiza namba zake na kujibipu,
Mkaka Shababi: baada ya lisaa nitakucheki mchumba
Kipepeo Chuma: hehehehe haya

Hata wale wa Uwanja wa Fisi wanaringa ringa kidogo [emoji849]
Hata mimi nikipata kitonga cha namna hii lazima nijiulize Mara mbili mbili
 
Yeah demu anapasha kiporo na ex wake, ni tabia tayari, na kama kuna mwanaume aliyemuoa, aisee namuonea huruma sana.
Dunia imeharibika kwa wanaume waaminifu.
Sasa hao wanaume wenyewe waaminifu wako wapi ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hakuna mwanaume asiyechepuka, wanawake wanatembea humo humo kwenye hizo kauli zenu, kwahiyo siku hizi hakuna mwanamke anayedanganyika kwamba eti mwanaume aliyenaye ni wake peke yake hayupo
 
Sasa hao wanaume wenyewe waaminifu wako wapi ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hakuna mwanaume asiyechepuka, wanawake wanatembea humo humo kwenye hizo kauli zenu, kwahiyo siku hizi hakuna mwanamke anayedanganyika kwamba eti mwanaume aliyenaye ni wake peke yake hayupo
wapo wasiochepuka, ni kwamba kuna gender bias kwamba mwanaume hawezi tulia kwenye mahusiano
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Si kila ndani ya ghorofa kuna mapochopocho, mengine ni dona na nsansa.
 
Back
Top Bottom