Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Bila picha huu Uzi ni chai😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣😂😂😂🤣
 
Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi, kanizidi manake mie nina cm 160
Hana kitambo, ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Halafu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Mbona hizi sifa mi ninazo zote au tuseme yule handsome ndo Mimi umekimbia huku kunifungulia izi😂
 
Yaani Kwa kauli hii ndio inaonyesha shemeji unazo,maana wenye pesa ndio misemo yenu hii,,,maskini ndio utawasikia walisema sisi matajiri [emoji16][emoji16]
Hivi kaenda na yeye kwenye appointment?
Nashukuru kwa kunipa moyo huenda mambo yakawa mazuri kweli huko mbeleni, lakini as of now hali yangu kiuchumi ni mbaya. Mikeka leo ikichanika sijui itakuaje

Atakua ndio anajiandaa, maana naona yupo busy sana
 
Sasa hao wanaume wenyewe waaminifu wako wapi ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hakuna mwanaume asiyechepuka, wanawake wanatembea humo humo kwenye hizo kauli zenu, kwahiyo siku hizi hakuna mwanamke anayedanganyika kwamba eti mwanaume aliyenaye ni wake peke yake hayupo
Hapana usiamini kila kinachoandikwa jukwaani, mimi ni mwaminifu kwa yule anipendaye maana sijaona faida ya kuwa na backup.
 
Nyuzi za namna hii hazitaki seriousness, hapa wanaume lazima tuwe na hasira hasa ukiwa upo serious. Unaona kabisa wake zetu ndio wamekuwa chaka la wana, ila ukiingia na free mind ukichakata unaona well, that's life and shit happens.

After all, huyu kasema hana ndoa, msipige kelele sana wacheni atoe upwiru.
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya[emoji108].

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.[emoji1787]

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Yan wanawake bhn kumbe kupenda mnapenda Ila mnajibanaaaa hv kwann
 
Back
Top Bottom