Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mimi nakukubali sana shem kama shem,ndugu yetu kakuchora tatoo.....na tatooo .....Nakutakia upate mipesa mingi maana huyo bibie anapenda pesa kama kazaliwa benki
Thanks mi pia nakukubali, kusema ukweli huyu pesa wala hapendi sana ni maneno tu. Ila anajua sana kuzitafuta pesa na pesa zinamfata kweli. She's very bright
 
🀣🀣🀣🀣 kipepeo wee!!
Jamaa vipi kitandani mzuri?
Amepiga ngapi sasa shosti?
Emu simulia kidogo km kile kipande INSIDER alivyomla lryn 😜
Kwasie tukiofundwa hatusemagi ya chumbani
Ila kiufupi Yuko njema
Mashine nzuri,safi imenyooka na kushiba
Anajua kupiga Kik na anakojoza kwelikweli🀣
 
Aisee... balaa. Dunia inawaza itawaokoa vipi watoto huko Gaza wanaouwawa halafu kuna huyu Butterfly wa chuma anawaza kwenda kumvulia chupi msukuma mmoja anayetajwa kuwa handsome. Kama nchi tunaelekea wapi?
 
Halafu we Mpambe sana unatamani sana ex wangu aone[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila usisahau nimeondoka mwili tu kule moyo kabaki nao ohooooo
Sorry shem wangu, mnadate au ni wanandoa? Kama mnadate kwani mpo ghorofa ya ngapi? Ya 3? Au Ya 4?
 
That nigga is using my way, Ila sasa tatizo sehemu moja anakosea.... Kupigapiga simu hovyo hiyo nadhani ni kwasababu umesema ni msukuma hivyo bado ana kau-bush kanamsumbua.
 
Kwasie tukiofundwa hatusemagi ya chumbani
Ila kiufupi Yuko njema
Mashine nzuri,safi imenyooka na kushiba
Anajua kupiga Kik na anakojoza kwelikweli🀣
🀣🀣🀣🀣 hatareeee!!
Subiri mitume ya Yesu ije kukuletea makasiriko!!
Nyie kina PetrooooπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈ
Yuda karudi, kashatoka kuchukua vipande vyake thelathini, mna lolote la kusema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Acha utani mkuu,sio kila sehemu unaweza kusongasonga mbele ghafla tu zingine ngumu,kila ulipiga hatua Moja mbele unapiga mbili nyuma [emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Usirudi nyuma, ukikosa kabisa mm nitakutafutia sehemu nzuri[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana tatizo husalimii mjini
Unajua jana wakati nachat na yule mdogo wangu humu, nilivyomuambia atulie nitamsaaidia nilikua nafikiria kumuweka hapo kwa joannah, kumbe joanah tayari ana mtu[emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kipepeo wee!!
Jamaa vipi kitandani mzuri?
Amepiga ngapi sasa shosti?
Emu simulia kidogo km kile kipande INSIDER alivyomla lryn [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23] hii ndio sehemu unaipenda, hapo unasubiri story kwa hamu zote
 
Back
Top Bottom