Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha,
Hivi huko wanakozunguka ccm huwa wanaandika barua nakujjbiwa?
Huyo aliyetoa hilo tangazo ni mjinga.Walishindwa nini kutoa taarifa ili waruhusiwe! Mambo mengine bwana
Kutokuheshimu demokrasia kutaigharimu nchi pakubwaPolisi wa Nyakato Mwanza, wamezua kongamano la Katiba mpya kwa Sababu walioandaa Kongamano kawajatoa taarifa Polisi. Hivyo likifanyika bila kibali cha Polisi litakuwa ni batili.
View attachment 1856405
wao wanafanya tu nchi wameshika waoKumekucha,
Hivi huko wanakozunguka ccm huwa wanaandika barua nakujjbiwa?
Kawaondoe wewe kamanda...mama bado anaupiga mwingi. mi thelasini tena kwamama.Huyo aliyetoa hilo tangazo ni mjinga.
Tangu lini kufanya mikutano au vikao vya ndani vikahitaji kutoa taarifa Polisi?...
Deep state wanampangia ziara za kijinga Bujumbura ili akute upepo wa miamala umepoa...ndio maana Jiwe alikuwa anaqagomea hadi msibani haendi!Mama hao wanaojiita deep state watakupoteza mambo yakianza kukuchachia, jiuzulu au wape mashariti magumu
Wamekupeleka ziara kusoma upepo ni woga tu
Kwanza hayo makongamano uchwara yanaingiza pesa kiasi gani kama si kutaka kuleta Shari na kueneza corona? Piga chini ujinga kama huoPolisi wa Nyakato Mwanza, wamezua kongamano la Katiba mpya kwa Sababu walioandaa Kongamano kawajatoa taarifa Polisi. Hivyo likifanyika bila kibali cha Polisi litakuwa ni batili.
View attachment 1856405
Wakipewa taarifa wataruhusu?Polisi wa Nyakato Mwanza, wamezua kongamano la Katiba mpya kwa Sababu walioandaa Kongamano kawajatoa taarifa Polisi. Hivyo likifanyika bila kibali cha Polisi litakuwa ni batili.
View attachment 1856405
Kitaba inayopiganiwa itawasaidia hata watoto wa polisi ila wao wanaungana ccm it is a shamePolisi wa Nyakato Mwanza, wamezua kongamano la Katiba mpya kwa Sababu walioandaa Kongamano kawajatoa taarifa Polisi. Hivyo likifanyika bila kibali cha Polisi litakuwa ni batili.
View attachment 1856405
Chadema hawafanyi kikao cha chama ila wanafanya kongamano na wanaalika watu mbalimbali...makongamano yenyewe ndo hayo ambayo wakina mdude wanatukana tu.Kikao Cha ndani hakihitaji kibari Wala taarifa.polisi nchi ikichafuka nanyi pia hamna pa kukimbilia,taifa ni letu wote mkilazimisha kuzuia mtaharibu.watu wanahasira na kuvurugwa kwa chaguzi zote,Leo mkikosa hekima mtaharibu nchi.katiba ni Mali ya wananchi kuibadili haihitajiki isani ya hajat.